Wewe tu na nguvu zako za kunimudu.Mzee wangu Asprin najua hatahitaji ngo'mbe nyingi, pia kama utakuwa na sifa ya ziada (cheupe) nitampa ng'ombe 10.
Weeee....Gongo la Mboto, Mbagala huko kwenye misongamano wapo teleeeSiku hizi naimani hawapo tena hao watu
Macho yamekosa paziaHabarini,
Hii kitu kwa kweli nashindwa elewa ni ya kibayolojia au ni kujiendekeza. Kila mwanamke atakayepita ni lazima akishapita tutageuka kuangalia mzigo eidha moja kwa moja au kwa kujificha.
Nipo moroko kituo cha mwendokasi nimeketi nikisubiri usafiri na watu wa aina tofauti wanapitapita na nimejaribu kujiambia ngoja nisiangalie makalio ya wanawake wanaopita.
Nafsi haitaki ila macho yanataka, na mwisho wa siku macho yanashinda vita.
Hatari sana.
Wanawake, mnatakiwa mjue kuwa kila unapopita na kupishana na mwanaume, asilimia kubwa ya wanaume watakuangalia makalio yako baada ya wewe kupita.
My baby dah!mtikisiko mkuu hata mi huwa naangalia sana tu
Dah, sasa jamaa hapo boxer yote mbichi.Umetisha dada mkubwa, kweli unawajua vizuri hawa watu. Kuna siku nikiwa pale k/koo nilimuona dunga dunga anamdunga dada flani, kulikuwa na mchezo wale jamaa wanaochekesha, bahati nzuri karibu yangu kulikuwa na JWTZ mmoja, nikamstua kimya kimya nikamuonyesha tukio, Zakari ilikuwa nje kabisa, na muda huo wazungu walishaanza kutoka. Dunga dunga alikula kichapo toka kwa mzee wa kazi jwtz,
Baby banaMy baby dah!
NiambieBaby bana
Dah, sasa jamaa hapo boxer yote mbichi.
Wewe tu na nguvu zako za kunimudu.
Ila hiyo Id yako inasadifu kweli au jina tu?
Weeee....Gongo la Mboto, Mbagala huko kwenye misongamano wapo teleee
Karibu nyumbaniKwa kiasi flani inasadifu, ndiyo maana kuna wakati nikasema nikiuza makinikia (waswahili pia wanaita Shabo) , nitakuja kuutolea ng'ombe mzigo wa kuvunja chaga.
MhhhKwa kumwangalia anaweza kuwa anamiliki usafiri wa aina gani??
Lazima tuchangamkie fursa...
law of nature UNLIKE CHARGES ATTRACTHabarini,
Hii kitu kwa kweli nashindwa elewa ni ya kibayolojia au ni kujiendekeza. Kila mwanamke atakayepita ni lazima akishapita tutageuka kuangalia mzigo eidha moja kwa moja au kwa kujificha.
Nipo moroko kituo cha mwendokasi nimeketi nikisubiri usafiri na watu wa aina tofauti wanapitapita na nimejaribu kujiambia ngoja nisiangalie makalio ya wanawake wanaopita.
Nafsi haitaki ila macho yanataka, na mwisho wa siku macho yanashinda vita.
Hatari sana.
Wanawake, mnatakiwa mjue kuwa kila unapopita na kupishana na mwanaume, asilimia kubwa ya wanaume watakuangalia makalio yako baada ya wewe kupita.