Ni sababu gani inatufanya wanaume tushindwe kujizuia kuangalia makalio ya wanawake?

Napataga tabu sana nikiwa na beibe wangu maana kinaweza pita chombo hiko lakini lazima nae akione then anakusubiria iangalie tu alianzishe[emoji23][emoji16][emoji16]
 
Macho yamekosa pazia
 
Dah, sasa jamaa hapo boxer yote mbichi.
 
mmmh!! propotional and managable
 
Wewe tu na nguvu zako za kunimudu.
Ila hiyo Id yako inasadifu kweli au jina tu?

Weeee....Gongo la Mboto, Mbagala huko kwenye misongamano wapo teleee

Kwa kiasi flani inasadifu, ndiyo maana kuna wakati nikasema nikiuza makinikia (waswahili pia wanaita Shabo) , nitakuja kuutolea ng'ombe mzigo wa kuvunja chaga.
 
Kwa kiasi flani inasadifu, ndiyo maana kuna wakati nikasema nikiuza makinikia (waswahili pia wanaita Shabo) , nitakuja kuutolea ng'ombe mzigo wa kuvunja chaga.
Karibu nyumbani
 
Maandiko matakatifu yanasema, kama kiungo cha mwili kinakufanya ushindwe kuhimili kuepuka dhambi, basi ni heri kuondoa iko kiungo kuliko adhabu utakayoipata siku ya mwisho. Kwa hyo mkuu, unaonaje ukayanyofoa hayo macho? Mana inaonekana umeshndwa kuya dhbiti macho yako
 
Mambo ya Sara Baartman hatari sana shekhe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
du zigo habar nyingine aisee..hata mademu huwaangalia wenzao ambao wamejaliwa zaid...
 
law of nature UNLIKE CHARGES ATTRACT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…