Ni sababu gani zinazochangia kushuka kwa Shilingi yetu na Dola kuwa juu?



Shikamoni wana uchumi...mmegusa penyewe..huu ndo u reality tuutakao...
 

Yani kuwe na sera ya dhahabu tu au ya kupandisha uchumi kwa ujumla?
 


Kuna watu wana vinyesi kichwani badala ya ubongo..
 
Matatizo haya yalianza zamani. Ila huwa tunayachukulia kijuu juu tu .
Mbali ya sababu walizotaja wana jf mbali mbali tatizo kubwa linalo yumbisha currency yetu ilianzia pale Mkapa alipo amua kuwahonga na hujumu nchi kwa kuzigawa maelfu kwa maelfu ya zilizo kuwa nyumba za serikali.
Nyumba hizi zenye thamani kubwa zimeenea nchi nzima katika mikoa yote.
Nyumba za zerikali nyingi zilikua katika maeneo nyeti ya miji yetu mfano hapa dar ni masaki . Oysterbay. Seaview.mikicheni. nk.
Kutokana na mahitaji ya nyumba za hali ya juu kuongezeka na mafisadi wenye pesa za madafu kuwa wengi nyumba hizi zime attract bei ya juu sana na nyingi zimeuzwa kwa Dolla.
Nyumba hizi zimeuzwa kwa mikataba feki kuanzia dolla milion moja $1m to $8m kwa nyumba moja.
Zaidi ya asilimia 50 ya nyumba hizi tayari zimeuzwa kwa mafisadi kwa dola .
Hivyo athari yake ya ufisadi huu wa Mkapa kuwauzia nyumba za serikali kwa bei ya kununua dagaa na hawa walohingwa ndio sasa wanayumbisha sarafu yetu.
Maelfu ya dolla wamepata na kuyatorosha nje hivyo kuifanya dolla kupanda sana.
Na bado suala hili litaendelea kuitesa sarafu yetu kwani bado kuna nyumba nyingi hazijauzwa lakini zipo sokoni na zikiuzwa kwa bei mbaya sana kwa Dolla tu.
Kule marekani nyumba ndio zilileta balaa lile la uchumi kwa walokopa pesa za kununua nyumba kuziachia mabenki myumba hizo baada ya kushuka thamani na kuyafanya mabenki makubwa kuanguka.
Hapa kwetu ni tofauti. Serikali imeziuza kifisadi nyumba zenye thamani ya kubwa ya mabilion kwa fedha ndogo sana na wale walouziwa wanaziuza kwa Dolla kwa fedha nyingi sana hivyo kuyumbisha uchumi na sarafu yetu.

Sababu hizi Prof Ndulu hawezi kuzitaja hata siku moja.
 


heshima kwenu wakuu
 
sababu kubwa ni kuwa ili ufanye manunuzi yoyote na nchi nyingine unapaswa kununua kwanza dola kwa kuwa ndiyo pesa imara ili ununulie mahitaji yako

Uchaguzi nao umeangusha uchumi na thamani ya shilingi, kipindi hiki wafanya biashara hupunguza speed ya kufanya biashara kwa hofu ya machafuko.
Pili kukosekana kwa watalii, ambao utalii ni pato kubwa kwa taifa.
Tatu rushwa na ukandamizaji wa democracy ni chanzo cha kushuka kwa thamani ya shilingi, matajiri wote washaondoa fedha zao nchini, kwa kuogopa machafuko na chama tawala kudai pesa ya campaign au kuwaangusha kiuchumi wafanyakazi biashara, hilo huwa lazima, Hivyo hukimbia nchini kipindi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…