Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Tatizo mnakuwaga na akili za ki kanjanja za kutaka kuwapiga watu hela kwanvitu ambavyo mngeomba hata hela ya maji.Habarini wakuu.
Hivi ni kwanini watu hujenga kwa ramani za kufikirika tu zisizokuwa na mpangilio wa kitaalamu. Yani umejibana kukusanya milioni zako flani, unamtafuta fundi na kumtajia idadi ya vyumba tu ajenge, au unampa mfano wa ramani uliyoipata kwenye mtandao.
Hebu fikiria umetumia milioni zako kazaa kuinua mjengo, halafu baada ya kuhamia na kuanza kupigwa na jua, huku ‘ventilation’ ikiwa mbaya yani upepo ukipiga upande usio na vyumba, ndio unagundua kwa ‘proper zoning’ chumba chako kilitakiwa kikae mahali ilipo public toilet, au dining au store+jiko.
Pia unagundua kuwa unakosa faragha (privacy) kwa wageni na changamoto nyingine nyingi.
Ni rahisi sana kulitambua hilo ukianza na ramani yako kwa kuleta wataalamu kwenye kiwanja chako, ili utengenezewe ramani kulingana na kiwanja chako na mahitaji yako.
Ungeweza kujenga kwa ramani ileile ulioipenda lakini ikahitaji mabadiliko kidogo sana iendane na kiwanja chako, na kukufanya ufurahie uwekezaji wako.
Unaweza kutucheki kwa namba 0717682856 tuje kufanya 'site analysis' upate kilicho bora kwa uwekezaji wako
Me kuna jamaa nilimuona online, ana biashara ya maswala ya ujenzi. Nikasema ngoja nimuungishe biashara. Nikawasiliana nae twende eneo langu akalicheki tujadili kujenga nyumba ya vyumba vitatu.
Jamaa akafanya ramli zake then baada ya dakika chake anjijia na upuuzi wake wa kunambia kunipa tu ushauri ni 1.2 milioni. Nikamuuliza tena, hiyo ina include nini maana ramani ninayo tayari. Akanambia hiyo ni procedure katika kampuni. Nikacheka sana kimoyo moyo. Nikamwambia mkuu poa. Ngoja niweke mambo sawa nitakupigia.