Ni sababu ipi ilifanya Mungu akaacha kuongea na binadamu kwa ishara?

Ni sababu ipi ilifanya Mungu akaacha kuongea na binadamu kwa ishara?

donga

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
2,555
Reaction score
5,202
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya hapa na pale

Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hapo zamani tunaambiwa na kusimuliwa MUNGU alikuwa akiongea na watu kwa ishara

Mfano
●Mussa alitokewa na kichaka kikiwaka moto
●Pia adamu aliisikia sauti ya MUNGU

Je hii sababu ni nn au ndio binadamu wa sikuizi hatuna imani?
 
Mungu yuko ndani yetu siku zote kwa namna ya Roho Mtakatifu kupitia Imani kwa Bwana wetu Yesu Kristo mwokozi.

Mungu anaongea nasi kupitia Neno lake, ukitaka kumsikia soma Neno lake...

Barikiwa
 
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya hapa na pale

Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hapo zamani tunaambiwa na kusimuliwa MUNGU alikuwa akiongea na watu kwa ishara
Mfano

●Mussa alitokewa na kichaka kikiwaka moto
●Pia adamu aliisikia sauti ya MUNGU


Je hii sababu ni nn au ndio binadamu wa sikuizi hatuna imani?
kama kuna kitu kipya ataongea tu, unataka aongee nini
 
Nani aliwahi ongea naye? Km kina nabii musa enzi izo
Mkuu hayo ni mambo ya mahusiano kati ya mtu na Mungu. Kwa mfano Mimi nikiongea niite ITV wake wachukue habari. Naamini Mungu ni yuleyule na Bado anawasiliana na watu wake.
 
Kwa sababu Biblia ina kila kitu Mungu anataka kutoka kwa wanadamu hivyo hana haja ya kutumia ishara tena
 
Uhuru umezidi sana nchi hii mpaka watu wanapata wakati wa kumjadili Mungu bila hofu wakati Biblia inasema Akili zake hazichunguziki
 
Uhuru umezidi sana nchi hii mpaka watu wanapata wakati wa kumjadili Mungu bila hofu wakati Biblia inasema Akili zake hazichunguziki
Unahisi yeye hapendi tuujue ukweli?
 
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya hapa na pale

Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hapo zamani tunaambiwa na kusimuliwa MUNGU alikuwa akiongea na watu kwa ishara

Mfano
●Mussa alitokewa na kichaka kikiwaka moto
●Pia adamu aliisikia sauti ya MUNGU

Je hii sababu ni nn au ndio binadamu wa sikuizi hatuna imani?
Mimi hupata maono mengi tu kutoka kwa Mungu kwa njia ya ndoto. Pia huona ishara na kuweza kuzielewa.
 
Mungu yuko ndani yetu siku zote kwa namna ya Roho Mtakatifu kupitia Imani kwa Bwana wetu Yesu Kristo mwokozi.

Mungu anaongea nasi kupitia Neno lake, ukitaka kumsikia soma Neno lake...

Barikiwa
Jibu kama swali lilivyouliza Mussa alisoma wapi Hilo neno?
 
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya hapa na pale

Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara hapo zamani tunaambiwa na kusimuliwa MUNGU alikuwa akiongea na watu kwa ishara

Mfano
●Mussa alitokewa na kichaka kikiwaka moto
●Pia adamu aliisikia sauti ya MUNGU

Je hii sababu ni nn au ndio binadamu wa sikuizi hatuna imani?
Mungu bona aiwai kuishi hapa duniani akawa anaongea na watu anatembea wanamfata alizaliwa kisha watu alio waumba wakamuua wakamtundika msalabani ndio kusema hilo ulijui huyo ni mungu wenu unataka mungu gani tena?
 
Mungu bona aiwai kuishi hapa duniani akawa anaongea na watu anatembea wanamfata alizaliwa kisha watu alio waumba wakamuua wakamtundika msalabani ndio kusema hilo ulijui huyo ni mungu wenu unataka mungu gani tena?
Amkaa umelala usingizi fofofo
 
Back
Top Bottom