Ni sababu zipi hupelekea matoz wengi kutembea kama wamejinyea ?

Ni sababu zipi hupelekea matoz wengi kutembea kama wamejinyea ?

"Wala usitembee katika ardhi
kwa maringo; hakika wewe huwezi
kuipasua ardhi, wala huwezi kufikia
urefu wa milima."
~17 Qur an
Hapa tulipigwa mchana kweupe..watu kila siku wanapasua ardhi na kulaza mabomba ya maji na mafuta..kutomboa miamba mikubwa hadi ya chini ya bahari.

Watu wameshapanda vilele vyote vya milima duniani na kuvipita juu yake zaidi hadi nje ya dunia.

Hizi ngano za wazee hazina halisia kabisa katika dunia yasasa..yenye maendeleo makubwa ya kisayansi na kitekinolojia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hapa tulipigwa mchana kweupe..watu kila siku wanapasua ardhi na kulaza mabomba ya maji na mafuta..kutomboa miamba mikubwa hadi ya chini ya bahari.

Watu wameshapanda vilele vyote vya milima duniani na kuvipita juu yake zaidi hadi nje ya dunia.

Hizi ngano za wazee hazina halisia kabisa katika dunia yasasa..yenye maendeleo makubwa ya kisayansi na kitekinolojia.

#MaendeleoHayanaChama
Pitia tena hio Aya
Hata mara 100 ruksa
Uelewe....sii kukurupuka...

Unasema watu wanapasua miamba
Wanapasua na vidole?
 
Hao watu siwajui lakini haijalishi, nitasema ninachotakiwa kusema.
Ukweli mchungu.

Ni hivi, mwanaume kufuatilia, kukasirika na kumind maisha ya wanaume wenzako ni tabia za kike.
Why?
Sababu ukifanya hivyo basi hutokuwa na tofauti yoyote kati yako na wale wamama wanaokaa barazani 24 hours kujadili pumba.

I mean why the hell would you give a damn about someone's life!
That sounds a lot like bullshit to me.
 
Kudaka watoto wakali mkuu, si unajua madem hawajauagi wanapenda nini, usikute hata hao wanaotembea kama wamebemendwa nao ni chaguo lao.
 
Hao watu siwajui lakini haijalishi, nitasema ninachotakiwa kusema.
Ukweli mchungu.

Ni hivi, mwanaume kufuatilia, kukasirika na kumind maisha ya wanaume wenzako ni tabia za kike.
Why?
Sababu ukifanya hivyo basi hutokuwa na tofauti yoyote kati yako na wale wamama wanaokaa barazani 24 hours kujadili pumba.

I mean why the hell would you give a damn about someone's life!
That sounds a lot like bullshit to me.
Mtazamo kama huu ndo unaharibu hiki kizazi, as long as upo kwenye jamii maisha yako sio yako peke yako na ndo maana tunapiga sana kelele kuhusu ushoga kwa sababu mmoja akianza tu haitoshia kwake. Kama tunataka tuwe na taifa lililostaarabika basi kila mmoja atapigiwa kelele kuhusu ustarabu

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mtazamo kama huu ndo unaharibu hiki kizazi, as long as upo kwenye jamii maisha yako sio yako peke yako na ndo maana tunapiga sana kelele kuhusu ushoga kwa sababu mmoja akianza tu haitoshia kwake. Kama tunataka tuwe na taifa lililostaarabika basi kila mmoja atapigiwa kelele kuhusu ustarabu

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sina muda wa kuhangaika na wajinga waliofuata machafu kwa kujitakia.
Mimi nitalinda watu wanaonihusu tu dhidi ya hao wajinga na kukaa nao mbali na sio kuhangaika na some idiot strangers.

Unadhani ukiandika hapa ndio itatatua huo ujinga wao?
Zaidi ya kupoteza muda wako ambao ungeutumia kufanya mambo yako ya maana?

Uchafu wote unaanzia kwenye malezi ya mtoto na familia, hivyo solution ni kulea wanao vyema ili wajitambue na wao walete vizazi safi baadae.
Kuliko kuhangaika na wajinga waliokomaa na wasiobadilika hata iweje.

Samaki mkunje angali mbichi.
 
Ustaarabu ni swala la jamii fulani,, ila kwa jamii yetu hatujatambua hilo kama ustaarabu..

Ila kwa jamii ya wamarekani kuvaa nguo chini ya kiuno sio jambo la anasa kabisa..

Muhimu: Yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu. Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachopenda,, ilimradi hajavunja sheria za nchi, na hajaingilia uhuru wa mwingine..

Kama utapiga kelele humu, na huku utaacha watoto wako kwenye TV kila mda wanaangalia hao mabitozi haisakusaidia lolote.. Na hayo ndio ya kuzingatia,, achana na hao unaowaona road ni maisha yao, na hata ukijua sababu ni nini, bado haitakusaidia.

Asante.
 
nimejaribu kufanya utafiti kimya kimya sababu za hawa mabwana kutembea kama mtu aliyejinyea lakini mpaka sasa niko 0-0

labda kwa anaefahamu ajaribu kutiririka hapo chini
Mkuu kwani wewe uliwahi jinyea
 
Hapa tulipigwa mchana kweupe..watu kila siku wanapasua ardhi na kulaza mabomba ya maji na mafuta..kutomboa miamba mikubwa hadi ya chini ya bahari.

Watu wameshapanda vilele vyote vya milima duniani na kuvipita juu yake zaidi hadi nje ya dunia.

Hizi ngano za wazee hazina halisia kabisa katika dunia yasasa..yenye maendeleo makubwa ya kisayansi na kitekinolojia.

#MaendeleoHayanaChama
ndo maana tunasema ufahamu ni tatizo kubwa sana kwenye jamii yetu wewe ndio wale wakiamka asubuhi cha kwanza kuingiza mkono sehemu mbaya mbaya..

anyway ngoja nikufahamishe makusudio ni kwamba hata utembee kwa kudunda vipi kamwe huwezi kutoboa ardhi kwa mwendo wako wa kudunda bali hata unese vipi huwezi kufikia urefu wa milima kwa kunesa kwako..

sasa kama bado utaelewa ni kutandaza mabomba na watalii kupanda milimani basi unahitaji astrazeneca ya sikio..
asante..
 
Back
Top Bottom