Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Mkuu unaishi maeneo yenye kotaz ja jeshiHakuna wanawake ambao sio wachoyo Kama wake wa wanajeshi
MuacheWe jichanganye😃
View attachment 3257476
Nimehama Ila nimechinja Sana wake zao na sio Mimi wadau wengiMkuu unaishi maeneo yenye kotaz ja jeshi
Hamna Kazi haoWe jichanganye😃
View attachment 3257476
Unataka tufanyeje mkuuEti eeh na we usiwe mchoyo ikifika time ya kupakwa wese
Sio wachoyo kabisa.wanajeshi wanatumia pesa na title kuwapata hao wanawake, na hata mazingira wanayowapata ni ya sterehe, so huwa wanaona amabo si wachoyo na wala hawajawapenda. niliikataa moja, si kua namuogopa jamaa, ila sipendi wake za watu.
kuna mwenzako aliwaona akawaletea dharau et nyie ni mgambo anakwambia alishituka yuko hospitalini anapewa uji na mrija😃Hamna Kazi hao
Karma.Hakuna wanawake ambao sio wachoyo Kama wake wa wanajeshi
We unaogopa,mkewe haogopi kwanini una kasumba hiyo?Eti eeh na we usiwe mchoyo ikifika time ya kupakwa wese
Unaaibisha username yako.
Karma is bitchKarma.
Anajisahau huyo KijanaWe unaogopa,mkewe haogopi kwanini una kasumba hiyo?
Naomba ubadili jina ujiite 'Shetani nigue' maana unamdhalilisha MunguNimehama Ila nimechinja Sana wake zao na sio Mimi wadau wengi
Sio wachoyo