Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
kuna pisi single nyingi mtaani, wake za watu sio.Unataka tufanyeje mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna pisi single nyingi mtaani, wake za watu sio.Unataka tufanyeje mkuu
siku ya kufa nyani miti yote huteleza na nyani hupakwa ule uteleziWe unaogopa,mkewe haogopi kwanini una kasumba hiyo?
Wachoyo kivipi? Fafanua puliziKwasababu waume zao niwachoyo
Kuna mke mmoja wa mwanajeshi, pisi kali sana wana mtoto nae mmoja. Niliunganishwa nae na jamaa fulani rafiki yangu ili nimuuzie kiwanja kwakuwa alihitaji na mimi nilikuwa nauza moja ya kiwanja changu.Hakuna wanawake ambao sio wachoyo Kama wake wa wanajeshi
😀😀😀 nimejiuliza hapa nani alimpiga kelbu mwenzake sijapata jibu.kuna mwenzako aliwaona akawaletea dharau et nyie ni mgambo anakwambia alishituka yuko hospitalini anapewa uji na mrija😃View attachment 3257482
Na wewe siku utakayopakwa parachute usiwe mchoyo.Hakuna wanawake ambao sio wachoyo Kama wake wa wanajeshi
Atapakwa parachute kisha wapaeNa wewe siku utakayopakwa parachute usiwe mchoyo.
Aisee hili tukio lilitukia wapi mbona mmoja anamchungulia mweingine na mwengine anaonekana ana hasiraWe jichanganye😃
View attachment 3257476
Una macho ya rohoni sana na jicho la kiintelijensia hata kama unauza mitumba hapo Karume, wakuu wa taasisi za usalama wajitafakari sana sana kama tunataka kuwa dhabiti ile propaganda imezaa matunda sana sana sanaaa tenaRwanda imesababisha dharau nyingi kutolewa kabatini.
WEWEEEEEEEEEEE...!!Hakuna wanawake ambao sio wachoyo Kama wake wa wanajeshi
Kuna mmoja alimtongoza demu wa mjeda pale Abiola Bar Makangarawe opposite ba Batotozi. Alijifanya kumwomba namba wakati mjeda kaenda maliwato. Mjeda liwafumania wakati anarudi. Alipewa pigo moja, jamaa akapoteza uhai pale pale...!!kuna mwenzako aliwaona akawaletea dharau et nyie ni mgambo anakwambia alishituka yuko hospitalini anapewa uji na mrija😃View attachment 3257482
Mzee baba acha iyo Tabia utapigwa pipe na Wazee wa kazi...Shaur yako.Hakuna wanawake ambao sio wachoyo Kama wake wa wanajeshi