Ni sababu zipi zimefanya TRA kuajiri wenyewe badala ya Utumishi?

Ni sababu zipi zimefanya TRA kuajiri wenyewe badala ya Utumishi?

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
180
Reaction score
204
Habari wanaJF.

Naomba kwa yeyote anayejua sababu zilizopelekea mamlaka ya mapato Tanzania yaani TRA kuajiri wenyewe aniambie?

Kusema ukweli ajira zinazopita utumishi ziko fair sana. Nimeshuhudia watoto wa maskini kabisa wakipata ajira TRA tena bila connection yoyote. Utumishi japo wana mapungufu yao mengi lakini wanakwenda angalau kwa haki. Sina maana kwamba hakuna ukiritimba au ajira za kujuana, naamini zitakuwepo ila kwa asilimia chache sana.

Sasa kitendo cha kurudisha ajira kwa TRA kuna lengo gani? Mimi naamini TRA kujuana kutakuwa kwingi sana, watu watakaokuwa wakiajiriwa watakuwa wa vigogo tu. Labda Utumishi wangetuambia sababu za kurudisha kibali kwa TRA ni zipi maana mamlaka ya kisheria ya kuajiri ni yao.

Mwenye kujua sababu za TRA kurudishiwa kibali cha kuajiri aniambie, na je unadhani kutakuwa na fairness kama ilivyo utumishi?
 
Sababu ni zlezle kuna watu walishindwa kupenya kupitia kule PSRS au ucheleweshaji wa PSRS kuanzia kuita watu kwnye saili na mpaka kupangiwa kituo so jamaa wamefosi wamepewa mamlaka wenyew tusiokuwa na ndugu pale Tira tusubir nafs zetu za halmashauri huko mfano Kiteto,biharamuro,wangingombe n.k
 
Habari wanaJF.

Naomba kwa yeyote anayejua sababu zilizopelekea mamlaka ya mapato Tanzania yaani TRA kuajiri wenyewe aniambie?

Kusema ukweli ajira zinazopita utumishi ziko fair sana. Nimeshuhudia watoto wa maskini kabisa wakipata ajira TRA tena bila connection yoyote. Utumishi japo wana mapungufu yao mengi lakini wanakwenda angalau kwa haki. Sina maana kwamba hakuna ukiritimba au ajira za kujuana, naamini zitakuwepo ila kwa asilimia chache sana.

Sasa kitendo cha kurudisha ajira kwa TRA kuna lengo gani? Mimi naamini TRA kujuana kutakuwa kwingi sana, watu watakaokuwa wakiajiriwa watakuwa wa vigogo tu. Labda Utumishi wangetuambia sababu za kurudisha kibali kwa TRA ni zipi maana mamlaka ya kisheria ya kuajiri ni yao.

Mwenye kujua sababu za TRA kurudishiwa kibali cha kuajiri aniambie, na je unadhani kutakuwa na fairness kama ilivyo utumishi?
Leta sababu za BOT kwanza ndio tukujibu TRA.
 
Habari wanaJF.

Naomba kwa yeyote anayejua sababu zilizopelekea mamlaka ya mapato Tanzania yaani TRA kuajiri wenyewe aniambie?

Kusema ukweli ajira zinazopita utumishi ziko fair sana. Nimeshuhudia watoto wa maskini kabisa wakipata ajira TRA tena bila connection yoyote. Utumishi japo wana mapungufu yao mengi lakini wanakwenda angalau kwa haki. Sina maana kwamba hakuna ukiritimba au ajira za kujuana, naamini zitakuwepo ila kwa asilimia chache sana.

Sasa kitendo cha kurudisha ajira kwa TRA kuna lengo gani? Mimi naamini TRA kujuana kutakuwa kwingi sana, watu watakaokuwa wakiajiriwa watakuwa wa vigogo tu. Labda Utumishi wangetuambia sababu za kurudisha kibali kwa TRA ni zipi maana mamlaka ya kisheria ya kuajiri ni yao.

Mwenye kujua sababu za TRA kurudishiwa kibali cha kuajiri aniambie, na je unadhani kutakuwa na fairness kama ilivyo utumishi?
Mkuu subiri watoto wa maskini tuliokosa utumishi tukipata kupitia TRA ndio tutacomment, vice versa is mutandis mtandis
 
Sababu ni zlezle kuna watu walishindwa kupenya kupitia kule PSRS au ucheleweshaji wa PSRS kuanzia kuita watu kwnye saili na mpaka kupangiwa kituo so jamaa wamefosi wamepewa mamlaka wenyew tusiokuwa na ndugu pale Tira tusubir nafs zetu za halmashauri huko mfano Kiteto,biharamuro,wangingombe n.k
Halmashauri ndio inaongoza kwa undugunization na ujuwanization mkuu. Hakuna paliko salama. Omba halafu muombe Mungu tu
 
Mbona kuna watu wamefanikiwa kupita huko BOT na TRA bila connection?

Kupata kazi taasisi yoyote inawezekana kabisa bila kuwa na refa. Ishu ni Je uko competent? Kwenye written marks zako zimenyooka? kwenye Oral unajibu ki professional?
 
Mbona miaka 7 nyuma walikua wanaajiri kwa VIMEMO tu. Mpk ukiwa unatokea kanda bongoman!! Hahahahaha Dawa inaingia

Ni kweli hadi kuna interview ya orgnz hii hii ilifutwa ilikua nadhan mwaka juz sikumbuki vizuri na walisimamia wao
 
Nakumbuka kuna mwaka fulani kitambo sana nyuma huko tulifanya usaili diamond jubilee pale tulikuwa nyomi aswaaaa ila dah kuna demu fulani alikuwa ana mjomba ake tra akawa anatuambia nyinyi angaikeni lkn mimi lazima nipate kazi na kweli majibu yalitoka yule dada alipata kazi, ngoja tuone mambo ya kamlete yanavyorudi tena kwa kasi sana huko tra
 
Back
Top Bottom