Ni sababu zipi zimefanya TRA kuajiri wenyewe badala ya Utumishi?

Ni sababu zipi zimefanya TRA kuajiri wenyewe badala ya Utumishi?

Huenda wakajipanga kutumia utaratibu wa zamani wa kutumia ma-lecturers wa vyuo Vikuu kama vile UDSM na MU kufanya mchakato wote kisha kuwapatia idadi ya staff wanaohitajika.
Ulikuwa utaratibu mzuri sana.

Lecturers wanakuwa makini na hawakubali kuchomekewa majina wala vimemo.

Wanataka ukiwapa kazi uache wafanye kazi yao kwa uwazi na haki bila upendeleo.

Kwa hiyo wala msitie shaka juu la hilo ndugu zangu.
 
Sizani kama HROs wa TRA watahusika na recruitment hizo.

Sizani.

Huko walishatoka zamani sana miaka mingi Sana kabla hata ya kupewa jukumu hilo Tume.

Huenda Watafanya utaratibu mzuri kama vile kufanya outsourcing ya Lecturers kadhaa kufanya hiyo kazi Kwa uwazi na haki bila upendeleo wowote wa misingi yoyote.

Si unawajua lecturers ni wasomi hawana mambo ya miandas.

Na iwapo wakipewa hiyo dhamana halafu ikaja kuonekana kuwa nao ni walewale basi wajue jamii itaanza kuwadharau Na kuondoa imani dhidi yao.
 
Maelekezo ya Mama aliwaambia utumishi kama taasisi inahitaji wafanyakazi na ina uwezo wa kuwalipa waachwe waendeshe Kila Kitu wenyewe. By the way naona kuna Kitu hakipo sawa awamu hii huu uhuru wanaoachiwa watendaji wa serikali bila kuwa monitored utakuja kugharimu taifa siku Moja

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanaJF.

Naomba kwa yeyote anayejua sababu zilizopelekea mamlaka ya mapato Tanzania yaani TRA kuajiri wenyewe aniambie?

Kusema ukweli ajira zinazopita utumishi ziko fair sana. Nimeshuhudia watoto wa maskini kabisa wakipata ajira TRA tena bila connection yoyote. Utumishi japo wana mapungufu yao mengi lakini wanakwenda angalau kwa haki. Sina maana kwamba hakuna ukiritimba au ajira za kujuana, naamini zitakuwepo ila kwa asilimia chache sana.

Sasa kitendo cha kurudisha ajira kwa TRA kuna lengo gani? Mimi naamini TRA kujuana kutakuwa kwingi sana, watu watakaokuwa wakiajiriwa watakuwa wa vigogo tu. Labda Utumishi wangetuambia sababu za kurudisha kibali kwa TRA ni zipi maana mamlaka ya kisheria ya kuajiri ni yao.

Mwenye kujua sababu za TRA kurudishiwa kibali cha kuajiri aniambie, na je unadhani kutakuwa na fairness kama ilivyo utumishi?
Wakipewa kibali why wasiajiri? Wew unahis kwa nini watendaji wa kata huwa wanaajitiwa na wakurugenzi wa halmashauri mda mwingi na sio kwenye PSRS?
 
Maelekezo ya Mama aliwaambia utumishi kama taasisi inahitaji wafanyakazi na ina uwezo wa kuwalipa waachwe waendeshe Kila Kitu wenyewe. By the way naona kuna Kitu hakipo sawa awamu hii huu uhuru wanaoachiwa watendaji wa serikali bila kuwa monitored utakuja kugharimu taifa siku Moja

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mama hajui mifumo inayochezwa na watu wa chini, nadhani pia hajui kwanini sekretaireti ya ajira(utumishi) ilianzishwa. Inabidi wasaidizi wake wamuelimishe. Hajui watu wa chini wanateseka kiasi gani kwenye hizo ajira. Huko TRA sasa hivi naamini itakuwa ni mwendo wa vimemo tu.
 
Mama hajui mifumo inayochezwa na watu wa chini, nadhani pia hajui kwanini sekretaireti ya ajira(utumishi) ilianzishwa. Inabidi wasaidizi wake wamuelimishe. Hajui watu wa chini wanateseka kiasi gani kwenye hizo ajira. Huko TRA sasa hivi naamini itakuwa ni mwendo wa vimemo tu.
raisi hajui? acha kujidanganya.
 
Sasa kuna faida gani ya wao kuajiri wenyewe ikiwa hadi leo bado hawajatoa majibu ya kwenda oral?
Maana kama ingekuwa utumishi hadi sasa wengekuwa wameshapiga oral interview…
Hadi sasa sijaona faida ya wao kuajiri wenyewe!
 
Taasisi kuajiri wenyewe ni Failure.
Mfano TRA wameng’ang’ania kuajiri wenyewe ila kusahisha tu mitihani phase one imewachukua mwezi mzima wakati sekretarieti saizi watu wangekua wanasubiri placement.

TRA hivi mnavyochelewesha ndo mnatengeneza mianya ya rushwa na kuchomekana. Mnasubiri nini hadi leo hamjatoa majibu? Ili watu waende oral. Hamkujipanga. It’s either mnasahisha sana, mnapanga safu zenu au PSRS walikua hawasahishi. Lipi ni jibu ila utaratibu huu watoto wa wakulima jua litawaka aisee. Wangeacha tuu
 
Taasisi kuajiri wenyewe ni Failure.
Mfano TRA wameng’ang’ania kuajiri wenyewe ila kusahisha tu mitihani phase one imewachukua mwezi mzima wakati sekretarieti saizi watu wangekua wanasubiri placement.

TRA hivi mnavyochelewesha ndo mnatengeneza mianya ya rushwa na kuchomekana. Mnasubiri nini hadi leo hamjatoa majibu? Ili watu waende oral. Hamkujipanga. It’s either mnasahisha sana, mnapanga safu zenu au PSRS walikua hawasahishi. Lipi ni jibu ila utaratibu huu watoto wa wakulima jua litawaka aisee. Wangeacha tuu
hawa jamaa walilalamikia PSRS kwamba wanachelewesha usahili na uitaji wa watu hlf wenyewe wanaenda kufanya yale yale mpaka muda huu mwezi hakuna majibu ya oral wala nn
 
hawa jamaa walilalamikia PSRS kwamba wanacgelewesha usahili nanuitaji wa watu hlf wenyewe wanaenda kufanya yale yale mpaka muda huu mwezi hakuna majibu ya oral wala nn
Wao ndo wameboronga kuliko chochote. Mi nakwambia wanafanya figisu sio bure wasiwe wanatangaza usaili basi maana ni kupachikana tu
 
Tulieni vijana,wao wanajua wanataka nini kwa hao candidates so muwe na uvumilivu
 
Sasa kuna faida gani ya wao kuajiri wenyewe ikiwa hadi leo bado hawajatoa majibu ya kwenda oral?
Maana kama ingekuwa utumishi hadi sasa wengekuwa wameshapiga oral interview…
Hadi sasa sijaona faida ya wao kuajiri wenyewe!
Wapuuz tu, ishue ni kupendeleana hakuna jingine wao ndio wamechelewesha mchakato kuliko recruitment secretariat. Nakumbuka Rais alisema sababu kuu ya kuruhusu taasosi zingine ziajiri zenyewe ni ucheleweshwaji wa mchakato wa kuajiriwa yan process inakuwa ndefu lakini kinachoshangazwa ni kuwa mbona sasa TRA ndio wamechelewa kuliko hata utumish ? What is going on ?…WE ARE DOOMED..
 
Back
Top Bottom