Ni sababu zipi zinazoweza kuelezea kupungua kwa uwezo wa single moms wa kisasa kulea watoto wa kiume?

Ni sababu zipi zinazoweza kuelezea kupungua kwa uwezo wa single moms wa kisasa kulea watoto wa kiume?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Muhimu: Tatizo hili lipo hata wakiwepo wazazi wote au baba pekee lakini kwa kwa single moms ni kiwango kikubwa zaidi na haimaanishi ni wote

Ni tofauti na zamani, haikuwa shida sana kwa kina mama kulea watoto hasa kimaadili na uwajibikaji.

Hali ya sasa imekuwa tofauti sana kwa single moms toleo la 90s kuja 2000s

Mama yupo nyumbani kavaa nusu uchi, ni tofauti na mama wa zamani walijua kujisitiri wakiwa na watoto

Imekuwa kawaida kukuta mtoto anaogeshwa au kulala kitanda kimoja na mama mpaka ana miaka 10.

Mama anaona ni sawa tu mtoto kucheza kama Zuchu, Hapo zamani unakaripiwa ukirudia fimbo.

Mtoto anakula chips mara kwa mara, nitofauti na zamani kina mama walipenda mtoto ale ugali ili awe na nguvu.

Wale kina mama wenye elimu kubwa na fedha athari zinaweza kuwa kubwa zaidi mtoto kupewa kila anachotaka, kulelewa kizungu kupitiliza, n.k.
 
Kwa Sasa malezi yamedorora kote na Wala sio kwa hao single mom tu.
Hawa wanacheza uchi au mashoga ni waliolelewa na single mom tu?
Suala la malezi kwa Sasa limekuwa mtihani si kwa watoto wakiume Wala wakike.
Sababu kubwa ni moja tu kuacha jadi zetu na kuiga jadi za wengine..
Matokeo ya utandawazi,michezo ya kwenye Tv,simu nk.
 
Hizo dharau za single moms ni za mitandaoni au mpka kwenye maisha halisi,,, nawajua single mama wengi wako vizuri sana na kaa ukijua single mama Wana kitoto Ina akili za shule na maisha mpka kero.
 
Kwa Sasa malezi yamedorora kote na Wala sio kwa hao single mom tu.
Hawa wanacheza uchi au mashoga ni waliolelewa na single mom tu?
Suala la malezi kwa Sasa limekuwa mtihani si kwa watoto wakiume Wala wakike.
Sababu kubwa ni moja tu kuacha jadi zetu na kuiga jadi za wengine..
Matokeo ya utandawazi,michezo ya kwenye Tv,simu nk.
Nakupinga, kila kitu kina kiwango chake ndio maana kuna vitu kama asilimia, probability, n.k.

Ukifuatilia watoto wengi spoiled ni waliolelewa na single moms hasa wa kizazi cha sasa.
 
Nakupinga, kila kitu kina kiwango chake ndio maana kuna vitu kama asilimia, probability, n.k.

Ukifuatilia watoto wengi spoiled ni waliolelewa na single moms hasa wa kizazi cha sasa.
Una watoto?
Una ishi wapi!tafadhali
 
Muhimu: Tatizo hili lipo hata wakiwepo wazazi wote au baba pekee lakini kwa kwa single moms ni kiwango kikubwa zaidi na haimaanishi ni wote

Ni tofauti na zamani, haikuwa shida sana kwa kina mama kulea watoto hasa kimaadili na uwajibikaji.

Hali ya sasa imekuwa tofauti sana kwa single moms toleo la 90s kuja 2000s

Mama yupo nyumbani kavaa nusu uchi, ni tofauti na mama wa zamani walijua kujisitiri wakiwa na watoto

Imekuwa kawaida kukuta mtoto anaogeshwa au kulala kitanda kimoja na mama mpaka ana miaka 10.

Mama anaona ni sawa tu mtoto kucheza kama Zuchu, Hapo zamani unakaripiwa ukirudia fimbo.

Mtoto anakula chips mara kwa mara, nitofauti na zamani kina mama walipenda mtoto ale ugali ili awe na nguvu.

Wale kina mama wenye elimu kubwa na fedha athari zinaweza kuwa kubwa zaidi mtoto kupewa kila anachotaka, kulelewa kizungu kupitiliza, n.k.
Changamoto za malezi ya watoto kwa sasa ni janga linaloikabili dunia yote, hakuna mahali penye nafuu.
 
Back
Top Bottom