Ni sahihi binadamu wa karne hii kuishi hivi?

Ni sahihi binadamu wa karne hii kuishi hivi?

Hayo siyo maisha ya kuishi binadamu karne hii,jamaa wana uchu balaa wao wanakula nyama yoyote inayokatiza mbele yao,wanalala kama wanyama lakini wao wenyewe na watetezi wao wanadai wanaenzi mila na tamaduni zao na serikali haitaki kugombana nao kwanza wanaona wamewapunguzia gharama hasa ukichukulia hiyo serikali yenyewe haijali wananchi basi ndiyo kabisa.
 
Back
Top Bottom