Hata mwaka kama utanihakikishia familia yangu itakuwa salama.Unaweza kujaribu kuishi nao kwa angalau wiki moja katika mfumo huo wa maisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mwaka kama utanihakikishia familia yangu itakuwa salama.Unaweza kujaribu kuishi nao kwa angalau wiki moja katika mfumo huo wa maisha?
Ndo maisha yao. Teha hapo ni afadhali kimeiva. Ila kwa uchunguzi wangu hii jamii ni wachache sana maana watoto wanakufa kwa pneumonia na wanawake wengi wanapata matatizo ya uzazi. Pia wanatabia za kuoana mtu na dada yake so wanakuwa na kizazi weak sana. Pia wanatatizo kubwa sana la chakula mpaka kuna muda wanaishi kwa kula ubuyu tuMkuu ndio wanaishi hivi? Hawa sio Tiktokers kweli hawa?
Kwanni mkuuhao wastani wao wa kuishi ni miaka 70
Siwezi kujizuia sasa,Unazingua hii mara ya ngapi nakuambia kuhusu kujirekodi
Naamini sana kwenye Asili mkuu. Hivyo kama wao wanaona ni maisha Bora kwao na hayana athari Kwa wengine waachwe.kuna haja yoyote ya kuwabadilisha waishi tofauti na hivyo?
Unataka waishi VP? Nyie kwenu matombo relini wazee wako wanaishi VP? Kama sio kushinda kunywa maziwa mgando Tu bila kushemsha?
isolate,source ya magonjwa haipo.Kwanni mkuu
Wana tofauti gani na wamasai wa Ngorongoro?
Ina maana wanaishi miaka mingi ama?wameji
isolate,source ya magonjwa haipo.
Watu wengi huwa wanaamini porini hakuna magonjwa kama mjini!Namna wanavyokula ni lahisi kuambukizana magonjwa ikitokea mmoja wao kaugua.Tungekuwa na serikali inayojitambua ingekuwa imekomesha hizo Mila za kipuuzi.Hapo hakuna Cha kuenzi Mila ni upuuzi tu.
Duuuh!! 🙄Ndo maisha yao. Teha hapo ni afadhali kimeiva. Ila kwa uchunguzi wangu hii jamii ni wachache sana maana watoto wanakufa kwa pneumonia na wanawake wengi wanapata matatizo ya uzazi. Pia wanatabia za kuoana mtu na dada yake so wanakuwa na kizazi weak sana. Pia wanatatizo kubwa sana la chakula mpaka kuna muda wanaishi kwa kula ubuyu tu
Wana afya kuliko wewe jaribu wewe kula hiyo uone
Kwa sababu gani mzeeWastani wa maisha wa wawindaji/hunters and gatherers ni miaka 40.