Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
hawako JELA wala MIREMBE... wako wqpi?Hawa jamaa ni Mental disturbed ama? Wako wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawako JELA wala MIREMBE... wako wqpi?Hawa jamaa ni Mental disturbed ama? Wako wapi?
Mkuu ujue toka juzi nasbri iwe kweli maana kwa sasa huyu antiel kasepa anasema yupo simiyu hukoIla usipost hizo video kesho nakupeleka mishangazi pub
🤔🤔🤔 Hiyo video ya pili jamaa anakula utumbo mbichi , bado una Mavi mabisa ...hawako JELA wala MIREMBE... wako wqpi?
Tuma video yako na weweKaribu huku Kibondo Kigoma, tumejaa tele Midume aina hiyo kwaajili yako Mrembo.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Kuna wanaowataka pia mbonaNa sisi wengine
Mbona kam unatukimbia sisi w townKuna wanaowataka pia mbona
Tutatumia zanguHawana pesa lakini
Wanaume wa town miyeyusho sanaMbona kam unatukimbia sisi w town
Mmekuwa mkisingizia sana watu kuwa ni MIAMBA huyu sasa ndiye MWAMBA anaonja utumbo mbichi wenye mavi ulionyofolewa kutoka tumboni mwa mnyama
Maemae kapigiamo chafya
Happy and simple life. Hawafi na sonona ya madeni hao 🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna Culture zinatakiwa zilindwe mzee kuna watu wanaitwa sentenel ni noma sanaNamna wanavyokula ni lahisi kuambukizana magonjwa ikitokea mmoja wao kaugua.Tungekuwa na serikali inayojitambua ingekuwa imekomesha hizo Mila za kipuuzi.Hapo hakuna Cha kuenzi Mila ni upuuzi tu.
Mishkaki ya samaki nchanga chakula pendwa Tanzania, Mozambique, Malawi
View: https://m.youtube.com/watch?v=AZdNKVOBVqQ
Apana so wote watu wametofautiana kumbuka...Wanaume wa town miyeyusho sana
Ewaaa mwanaume ana nguvu zote