The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Dahh sikuwepo Aisee ilikuwa ni nudes!?Mbona ilivuja hapa ujue...
Na watu wakaona kabisa na tukaijadili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahh sikuwepo Aisee ilikuwa ni nudes!?Mbona ilivuja hapa ujue...
Na watu wakaona kabisa na tukaijadili
Dunia ni kubwa Mzee kuna watu wameamua kukataa mifumo ya modern world,Kweli bhana , nimewafuatilia youtube nimeona .
Jamaa anaitwa vishu yupo humu humu jukwaani..Dahh sikuwepo Aisee ilikuwa ni nudes!?
Aisee Noma sanaJamaa anaitwa vishu yupo humu humu jukwaani..
Alikua anafanya uchafu na mwanafunzu huku akijirecord Na aliyevujisha ni jamaa ake sijui ni nani..
Ndio mifumo Binaadamu wote Tupo programmed hata Mimi na wewe tusingekuta hii mifumo ya kisasa ktk jamii zetu Tungekuwa kama Hao jamaaHawajakataa, haijawafikia na hawaijui.
Kila niki share picha zinafutikaSema kweli?
Hii comment bila picha ni uongo
M follow huyo jamaaa.Aisee Noma sana
Meatu pia vijiji vya Iramba Ndogo na Sungu ila tuko kwenye mkakati wa kuwameza waliomaliza miaka 20 ijayo kabla hawajawa Wasukuma labda siyo mimi!Hadzabe tribe. Wanapitana mkoani Arusha wilaya ya Kata kata ya Endamaghan na pia wanapatikana mkoan Manyara wilaya ya Mbulu katika vijiji vya Yaeda chini, Eshkesh na Muongo mono. Hayo ndo maisha yao ila ni wachafu kwakweli
Lakini wote wanaishi maisha ya kipindi cha stone age. Yaani tofauti yao na wanyama pori ni ndogoWamasai wa Ngorongoro ni wafugaji, hawa ni wawindaji.
Bora wao kuliko wafuasi wa mwamposa 🙃
Sahihi mkuu...Dunia ni kubwa Mzee kuna watu wameamua kukataa mifumo ya modern world,
Makabila ya huu mkoa yananichanganya sana, mfano Kuna Wagorowa/wafyomi, wairaq/wambulu, warangi, wamasai hao kidogo naweza watofautisha sasa changamoto ni Wambugwe, wadatoga, Mang'ati, barbaig, hadzabe & watindigaHadzabe tribe. Wanapitana mkoani Arusha wilaya ya Kata kata ya Endamaghan na pia wanapatikana mkoan Manyara wilaya ya Mbulu katika vijiji vya Yaeda chini, Eshkesh na Muongo mono. Hayo ndo maisha yao ila ni wachafu kwakweli
Ndio ni sahihi kwao, kilicho sahihi kwako si sahihi kiwe sahihi kwa mwenzako. Kila mmoja aishi anavyopenda na kufurahia