Ni sahihi binadamu wa karne hii kuishi hivi?

Ni sahihi binadamu wa karne hii kuishi hivi?

kwa mmi ninavyo ona huenda binadamu wanao ishi mda mrefu zaid oya hawana stress ao mbuzi yani hadaiwi kod kila Kitu anajua ulicho wapita ao ja Maa kubadilisha nguo na lami wanakula wanaenda kazini nimeona hadi wanakula viazi mbatata ***** 😂😂😂😂😂 we upo uku mjini na stress zako kiufupi tumejaa kwenye system ya mzungu na waangefungua Chanel kule you tube na media zingine wangepiga sa Ana hela Kwanza wana trend sana 🤣🤣
 
Inasemekana idadi yao inaenda inapungua mwaka hadi mwaka na huenda wakatoweka.
 
kwa mmi ninavyo ona huenda binadamu wanao ishi mda mrefu zaid oya hawana stress ao mbuzi yani hadaiwi kod kila Kitu anajua ulicho wapita ao ja Maa kubadilisha nguo na lami wanakula wanaenda kazini nimeona hadi wanakula viazi mbatata ***** 😂😂😂😂😂 we upo uku mjini na stress zako kiufupi tumejaa kwenye system ya mzungu na waangefungua Chanel kule you tube na media zingine wangepiga sa Ana hela Kwanza wana trend sana 🤣🤣
Huwezi kuishi maisha marefu katika mazingira kama hayo.
 
Safi kabisa namana hapo unazungumzia maisha mareeeeeefu sana sana mingi mingi yasiyokuwa na kisukari Wala presha na me ndio naishi
Ni mojawapo ya jamii zenye maisha mafupi sana hapa duniani. Maisha marefu yanaendana na kiwango cha maendeleo, jamii zenye maendeleo makubwa ndio zenye maisha marefu zaidi kadri ya maendeleo yao.
 
Hayo sio maisha yao halisi, kuna mtu amewalipa pesa ili wafanye vitu extreme, na anawarekodi ili kutengeneza Youtube Content wapige pesa
 
Nimecheka hapo jamaa alipoungua🤣

Kamaliza kula halafu ananawa kwa kujipangusia/kujifutia na mti wenye miba hata hochomwi miba mikononi/vidole🤣
 
Huwezi kuishi maisha marefu katika mazingira kama hayo.
Mkuu hakuna study au research iliyofanyika kusubstantiate hilo, kama ipo inukuu hapa.

Ninacho fahamu bila chembe shaka ni kuwa maisha yao sio ya stress, pressure au lifestyle diseases.

Maisha yao yamejikita kwenye kula, kuuza a na kulala period.
 
Mkuu hakuna study au research iliyofanyika kusubstantiate hilo, kama ipo inukuu hapa.

Ninacho fahamu bila chembe shaka ni kuwa maisha yao sio ya stress, pressure au lifestyle diseases.

Maisha yao yamejikita kwenye kula, kuuza a na kulala period.
Ziko studies nyingi sana za kuonyesha hunters and gatherers ni jamii zenye maisha mafupi kuliko jamii nyingine(wastani wa miaka kati ya 40-50). Modernization imemefanya binadamu aishi miaka mingi sana, ndio maana Japan na Ulaya wastani wa maisha ni miaka 80.

Stress, pressure na lifestyle diseases vinadhibitika kiasi chake kwa elimu na maendeleo makubwa ya utabibu.
 
Hadzabe tribe. Wanapitana mkoani Arusha wilaya ya Kata kata ya Endamaghan na pia wanapatikana mkoan Manyara wilaya ya Mbulu katika vijiji vya Yaeda chini, Eshkesh na Muongo mono. Hayo ndo maisha yao ila ni wachafu kwakweli

Mbona hawapatwi na kipindupindu?
😛
 
Back
Top Bottom