Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 711
- 683
ndiyo ilivyo.Watu wengi huwa wanaamini porini hakuna magonjwa kama mjini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo ilivyo.Watu wengi huwa wanaamini porini hakuna magonjwa kama mjini!
Mshenzi kabisa wewe etSiwezi kujizuia sasa,
Umepataje iyo video mbon m sijaionaa mkuuMshenzi kabisa wewe et
HamnaUnaweza kula nao pamoja hicho chakula wanachokula ?
Kwelii kabisa porini magonjwa siyo mengi kama townWatu wengi huwa wanaamini porini hakuna magonjwa kama mjini!
Mmmh kuna kipindi alianzisha uzi watu wakatuma video yake..Umepataje iyo video mbon m sijaionaa mkuu
Hawa ndo wanaume tunaowataka sasa
Bora hao kuliko mijini kwenye minanasi yako ya kitaahira iliyo meupe imeoza isiyo mitamu na full chemicals, kwanini usipate kansa, kuzeeka mapema, hormones imbalance na kuwa na minyonyo kama Demu...!?Watu wengi huwa wanaamini porini hakuna magonjwa kama mjini!
Unaweza kuruhusu mtoto wako aolewe au aoe huko na aishi mfumo huo wa maisha?
Mtoto wangu hawezi kuoa au Kuolewa huko kwa sababu mifumo ya maisha niliyomlea ni tofauti na Mifumo wanayoishi...Unaweza kuruhusu mtoto wako aolewe au aoe huko na aishi mfumo huo wa maisha?
SawaMmmh kuna kipindi alianzisha uzi watu wakatuma video yake..
Sijakumbuka huo uzi ila soon takutumia
Hili sontojo line ududu mwingi sana mwaisa 😋
Na sisi wengineHawa ndo wanaume tunaowataka sasa
Karibu huku Kibondo Kigoma, tumejaa tele Midume aina hiyo kwaajili yako Mrembo.Hawa ndo wanaume tunaowataka sasa
Porini hakuna mananasi tenaBora hao kuliko mijini kwenye minanasi yako ya Klkitaahira iliyo meupe imeoza isiyo mitamu na full chemicals, kwanini usipate kansa, kuzeeka mapema, hormones imbalance na kuwa na minyonyo kama Demu...!?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Ila usipost hizo video kesho nakupeleka mishangazi pubMshenzi kabisa wewe et
We wakala Mkuu wa artificial foods mnapeleka wapi dunia yetu ya awali tuliyokuwa tunainjoy zaidi kula natural foods kama tuko bustanini Eden na kutuletea uchafu wa aina hii? nanasi chachu kama mbilimbi na halinukii hata.Porini hakuna mananasi tena