Nyani anakula nyani
Kwanini?Sio sahihi
Kwa mwendo huu Pressure,Typhoid,Malaria ,Kisukari,Corona utaviskia kwenye bomba...
Mkuu ndio wanaishi hivi? Hawa sio Tiktokers kweli hawa?Hadzabe tribe. Wanapitana mkoani Arusha wilaya ya Kata kata ya Endamaghan na pia wanapatikana mkoan Manyara wilaya ya Mbulu katika vijiji vya Yaeda chini, Eshkesh na Muongo mono. Hayo ndo maisha yao ila ni wachafu kwakweli
Wewe unavyoramba vinyeo vya wenzio ni sawa sio??Ni sawa tu wafanye wanavyotaka LAKINI jinsi wanavyokula mpaka nahisi KUTAPIKA.
Ni wachafu sana wanafakamia manyama Duuh.
Mimi siwezi, BUT WHO AM I TO JUDGE?
To each his own.
Cc: Nyani Ngabu mshamba_hachekwi DR Mambo Jambo Poor Brain FaizaFoxy