Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Hii dhana ya kujinunulia majenezo au kujijengea makaburi kabla ya kifo chako, kwa kisingizio eti ukifa usije kusumbua watu katika michango.
Hii imekaaje wakuu? Ni sawa kufanya hivyo?
Hii imekaaje wakuu? Ni sawa kufanya hivyo?