Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

new forest

Member
Joined
Mar 28, 2024
Posts
35
Reaction score
97
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
 
mlee kama mtoto wa ndugu yako unayewezesha kumsomesha ili hali wazazi wake wapo, fanya hivyo pia. Na mlee unavyotaka wewe usipangiwe kwa sababu baba wa mtoto ameshindwa, kumbuka ni rahisi mwanaume kulea mtoto wa kambo kuliko mwanamke, hapo ndio ulipo utofauti wa mwanamke na mwanaume
 
Habar Wana JF?, kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri WA miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alikuwa kuchukua akawa anaishi naye, na baba WA huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.
Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi. Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa nn SAHIHI Mimi kumlea mtoto WA KAMBO na baba yake yupo?. Na kama mnavyojua changamoto za mtoto WA KAMBO sitakuwa na uhuru WA kutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Mlee vizuri huyo mtoto ndio msaada wako wa badaae mambo hugeuka Broo! Mlee kama umemzaa wewe.

Fikiria kama umepata ajali umefariki then mkeo anaolewa na mwanaume mwingishe kisha ambague mtoto wako.

Mlee bila kufikiria kama baba yake yupo.
 
Kama mke anatosha vigezo vyote vya kuitwa mama watoto na anakutii kaa nae chini mpe masharti na umchukue umlee. Kuna riski sana lakin ukibahatika utapata dhawabu uzeen. Kuna jamaa yeye aliolewa na mama yake yule mzee aliwakubali kwasasa kawachomoa wadogo zake wote na mzee anakula bata. Usibague kabisa. Ukikaa na kiumbe chochote usibague kabisa ni hatar sana.
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Mpeleke kwa bibi yake mzaa mama yake
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Hebu rudi kwenye maandiko na mafunzi ya imani yako yanasemaje. Ongea na viongozi wa dini.

Wewe shida yako ni ya kiroho zaidi.

Huyo mtoto wazazi wake wote wapo, ina maana sehemu kubwa majukumu ya msingi atimiziwe na hao wazazi wake.

Halafu mtoto mwenyewe ni wa miaka mitano hajui lolote, jinsi utakavyomlea ndivyo atakuzoea hivyo kama babake wa kufikia, sio kijana mkubwa useme ana mambo yaliyoshindikana kulelewa

Ila wewe unaonekana una imani imekita mizizi rohoni mwako kuwa mtu haifai kulea mtoto wa kufikia, na hiyo si imani sahihi.

Halafu kumbuka huyo mtoto ni ndugu wa mwanao, ni kaka yake kabisa.
 
Kama mke anatosha vigezo vyote vya kuitwa mama watoto na anakutii kaa nae chini mpe masharti na umchukue umlee. Kuna riski sana lakin ukibahatika utapata dhawabu uzeen. Kuna jamaa yeye aliolewa na mama yake yule mzee aliwakubali kwasasa kawachomoa wadogo zake wote na mzee anakula bata. Usibague kabisa. Ukikaa na kiumbe chochote usibague kabisa ni hatar sana.
🔨🔨🔨🔨🔨🔨📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
 
Heshimu makubaliano yenu ya mwanzo. Ukilegeza hapo utat.o.m.b.e.w.a na baba mtoto hapo hapo kwako. Kwakua atakuja kumuona mwanae na kumjulia khali hapo nyumbani.mwisho w cku utalea mtoto kiuoga oga kuogopa kukosea kisa mtoto wa kambo. Hv jiulize uko na uwezo wa kusomesha watoto wa MTU mwingine private school na wako kayumba. Ukigeuza upande watasema una mnyanyapaa tu.
All the best
 
Mlee vizuri huyo mtoto ndio msaada wako wa badaae mambo hugeuka Broo! Mlee kama umemzaa wewe.

Fikiria kama umepata ajali umefariki then mkeo anaolewa na mwanaume mwingishe kisha ambague mtoto wako.

Mlee bila kufikiria kama baba yake yupo.
Ni SAHIHI ila tatizo baba yake yupo na sio kwamba hajiwwezi au kamkataa mtoto wake hapana. Ila ni wasiwasi WA mama yake kuwa mtoto wake anateseka Kwa baba yake Bora akae naye mwenyewe.
 
Ni SAHIHI ila tatizo baba yake yupo na sio kwamba hajiwwezi au kamkataa mtoto wake hapana. Ila ni wasiwasi WA mama yake kuwa mtoto wake anateseka Kwa baba yake Bora akae naye mwenyewe.
Muache mtoto kwa baba yake usiwe Fala kubeba majukumu ya mtu mwingine ambae yuko hai na anatakiwa kuwajibika kwa mtoto wake, usiwe boya labda kama baba yake kafa hapo sawa ila kama yupo hai usikubali huo ujinga
 
Mlee vizuri huyo mtoto ndio msaada wako wa badaae mambo hugeuka Broo! Mlee kama umemzaa wewe.

Fikiria kama umepata ajali umefariki then mkeo anaolewa na mwanaume mwingishe kisha ambague mtoto wako.

Mlee bila kufikiria kama baba yake yupo.
"mlee vizuri" angalau ungeishia hapo, lakini maneno mengine yote yaliyofuata ungeyafuta kabisa
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Kwa hiyo kumbe mke wako na baba mtoto wake wanatembeleana kama kawaida wakiunganishwa na mtoto?
Okay, sioni kwanini uombe ushauri katika hili wakati maamuzi makubwa na magumu ulisha yafanya
 
Back
Top Bottom