Mtihani ktk mahana ya kuongeza member kwny familia,. Kwamba atamhudumia. Mengine ni constant.Huo ni mtihani wako majibu yatategemea akili Yako mwenyewe
Ila nacbehojua ni mtihani mgumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtihani ktk mahana ya kuongeza member kwny familia,. Kwamba atamhudumia. Mengine ni constant.Huo ni mtihani wako majibu yatategemea akili Yako mwenyewe
Ila nacbehojua ni mtihani mgumu sana
Watu wanayaangalia haya mambo kijuu juu sana. Hiwa hawatafakari kwa kitu na ndiyo maana wengi wanaishia kuumizwa pia matukio yanazidi kuongezeka sababu ya watu kujitia huruma au kujitia ni waelewaDuh,
Sasa mkuu, kwa utopolo huo si utakuwa umegeuka mtumwa wa huyo mume mwenzio?!
Halafu kwa kuwa maeneo ya kukutania siyo home, bali baba mtoto ndo anaamua na kutoa maelekezo, maana yake zamu ya mke itaambatana na yeye kutafunwa!
Dah, mtoa mada kazi anayo
Kuna wanaume wanagongewa wake zao pamoja na kuwa walioa bikra. wanaume tunawaza sana kugongewa badala ya kujali utuDuh,
Sasa mkuu, kwa utopolo huo si utakuwa umegeuka mtumwa wa huyo mume mwenzio?!
Halafu kwa kuwa maeneo ya kukutania siyo home, bali baba mtoto ndo anaamua na kutoa maelekezo, maana yake zamu ya mke itaambatana na yeye kutafunwa!
Dah, mtoa mada kazi anayo
Asante dear. Mungu atusaidieUmezungumza kihekima sana! Safi maana sometimes mbele ya safari huko hao watoto ndo huwa wanatoboa.
Yeye amlee kwa upendo wote tu..maana hata yeye ikitokea hayupo duniani mtoto wake atalelewa na mwingine.
Aonyeshe upendo tu sisi wote ni binadamu huwezi jua Mungu atakupa zawadi gani maana kwa upendo utakaoonesha mbele ya safari.
Mwambie huyo MWANAMKE wako 👉 MTOTO KWA MAMA HAKUI aache utoto na kukosa Akili
Hata waswahili husema mpe mchawi MTOTO akulele
Me nimeishi na mama wa kambo kabda hata ya kuanza vidudu, nimeona faida ya kulelewa na mama wa kambo, mama wa kambo hatokupendelea kwamwe bali atakua neutral i.e atakua kati kati na huko ndipo kumpenda MTOTO
Wamama wengi wanawapendelea Watoto wao, wakidhani Kwamba wanawapenda kumbe wanatenda kinyume na upendo kwa watoto wao
Kuna tofauti Kati ya kupendelea na kupenda 👉 DUNIA inadhani kupendelea ndio kupenda kumbe ni kutenda kinyume na upendo
Chunguza vizuri utaona MTOTO alielelewa na mama wa kambo alivyo fanikiwa sio kimwili tu bali hata kiroho Kwaiyo mwambie huyo mke wako aache upumbavu amuachie mchawi MTOTO amlele Yeye hatoweza kumlea uyo mtoto atampendelea t na mwisho wa siku hatopata chcht kutoka kwa uyo MTOTO
Malezi ya Mama Ndio malezi Gani ayo? Kamwe Mama Hawezi kulea MTOTO, atampendelea na kumuhudumia tu lakini sio kumlea
Jua hutuunguza lakini hatufi bali linatupasha tu ili tuive tayari kwa kuliwa 👉 Ndugu utaliwaje ukiwa mbichi?
Mtoto hapo anapashwa, anaandaliwa kwaajili ya Kesho yake iliyo Njema hawezi kufa hata kidogo wala MUNGU hawezi kuluhusu Icho kitu
Wewe umefanikiwa kwenye nyanja gani ya maisha? Mbona unaongea upupu kama mtu mwenye mental disorder.
Wanao umepeleka kulelewa kwa mama wa kambo ili wapate malezi bora? You must be slow.
Wala hakuna ubaya wowote, wewe mlee kadiri ilivyo sahihi, lengo ni kumsaidia huyo mkeo bila kujali chochote.Habar Wana JF!
Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.
Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.
Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.
Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Zemanda first I second you,, then I salute you for this elaboration master.Umesema umeoa mwaka m'moja uliopita na hapa Jamii Forum kuna nyuzi zaidi ya 100 zinazokataza na kupiga marufuku vijana ambao bado ni wadogo na mpo umri wa kujijenga kuoa single mothers na kuelekeza kuachana nao, kuwakalia mbali kwasababu ya changamoto na mizigo wanazokuja nazo katika maisha yako na kutaka wewe uyabebe as if yanakuhusu au uliyasababisha.
Wewe ukakaidi hilo na kuona unaweza kujiamulia kuanza maisha na single mother kwasababu tu amekuahidi kuwa atakubaliana na maamuzi yako ya kupeleka mtoto kwa baba yake?😂
Sasa ulikuwa haujajua kuwa kuzaa nae ndicho alichokuwa anataka ili akushike vizuri kwenye himaya yake ya kishetani. Anajua saa hii hauwezi mtenga ana mtoto wako hapo amerudisha panga meza ya mazungumzo ambayo mlikubaliana kuwa vita sio jibu.
Hakunaga single mother anaachia watoto wake. Kama unakumbuka tulisema kuwa katika maisha ya single mothers, watoto wake ndio kitu cha kwanza,then baba watoto wake,halafu wazazI wake,ndugu zake,mashost zake,halafu ndio wewe unaweza kufuatia maybe kama amekosa mtu mwingine muhimu wa kumpa kipaumbele.
Usione tunawapiga vita hawa viumbe kwa nguvu zote tunawaelewa nje ndani kwa tabia zao za asili.
Kwanza kitendo che yeye kuwa single mother ni bonge la red flag 🚩🚩🚩 ambayo ulitakiwa ukimbie na ikibidi umrushie mateke siku alipokusogelea. Wewe ukaweka silaha na injili chini ukaanza kujikuta ni USAID a.k.a baba huruma unakaa nae na kunegotiate,how do you negotiate na terrorist wa jamii. Hawa ni magaidi wa kijamii waliochagua kuiharibu jamii wewe unamkaribisha ili umpe hifadhi na kuishi nae kwa resources zako mzee?😂😂
Kama msemo huu unavyosema,"NEVER NEGOTIATE WITH A TERRORIST".
Usiingie makubaliano yoyote na single mother zaidi ya kukulana na kusepa, wewe unaweka ndani kabisa si bora ungeenda pale sinza makaburini usiku ukachukue dada poa m'moja ukubaliane nae awe mke mzee😂😂😂.
Hapo tayari umeshaingia kwenye vita ambayo kila nyuzi hapa ndio huwa inajaribu kukuelimisha usithubutu kuiingia. Sasa ona badala ya kuwaza ujenzi wa familia unaanza kuwaza afya ya toto ambalo halikuhusu na lina baba lake jinga jinga ambalo huyo mpuuzi mwenzake uliyeweka ndani ndio wahusika ila wanashindwa kudeal na issue ndogo kama kulea mtoto wake mwenyewe wanataka wewe ndie ubebe hilo jukumu.
Hapo anakupa visingizio vya mtoto kukonda,sijui kudhoofu kwanini asiende kule wakae kitako yeye,baba mtoto,na mke wa baba mtoto wake wazungumzie afya ya mtoto na wajadili namna ya kumpa mtoto malezi na matunzo mazuri?
Hapo ndipo vita imeanza sasa mzee ukisikia single mother ni kisanga ndio hii. Atamchukua mtoto kwa kulazimisha. Utashangaa akija na mtoto wake hapo sasa ndio roho yake ina suuzika anakuangalia huku katabasamu kwa kukenua meno yote 32 nje.
Hapo kinachofuata ni mkishajenga na kufanya baadhi ya vitu pamoja kujijenga anaanza sasa mission yake iliyomleta kwenye maisha ambayo ni kuchukua mali zako na kukuvuruga. Ataanza kuwasiliana na baba mtoto mara kwa mara na kukufanyia drama za kitoto ili ukasirike mgombane akadai mgao wa mali mahakamani.
Hao huwa wanaingia kwenye ndoa ili kutatua changamoto zao na mara wakiona wamezipunguza wanaweza jitegemea wanaanza mchakato wa kutoka sasa sababu mission accomplished ndoa haijawahi kuwa ajenda yao kwasababu hawaijui misingi yake na ndio maana wakazaa nje ya ndoa. Binti anaeijua ndoa huwa anajulikana na haiwezi kumshinda hata iweje.
😂😂😂 ila we jamaa hua una maneno ya ukakasii.
Kwanza kitendo che yeye kuwa single mother ni bonge la red flag 🚩🚩🚩 ambayo ulitakiwa ukimbie na ikibidi umrushie mateke siku alipokusogelea. Wewe ukaweka silaha na injili chini ukaanza kujikuta ni USAID a.k.a baba huruma unakaa nae na kunegotiate,how do you negotiate na terrorist wa jamii. Hawa ni magaidi wa kijamii waliochagua kuiharibu jamii wewe unamkaribisha ili umpe hifadhi na kuishi nae kwa resources zako mzee?😂😂