Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Ukiona huwezi kuhimili mikiki ya singlemom hupaswi kuoa singlemom....unaponichukua unachukua na wanangu....Mambo ya siyo damu yangu huo ni ubinafsi na ulozi...damu yangu niliishidamu yangu...unaweza Lea mtoto yatima wewe!? Si damu yangu,baba ake yupo....baba angekuwepo si ungekuta analelewa nae? Baba yake hayupo!!!! Unamtenga mtoto wakati umeoa mama yake,akikua anakuua huyo.Just wait and see
Wanawake waliozaa nje ya ndoa ndiyo wanakua na mawazo kama yako na maneno kama yako, Mimi niliishi Zanzibar nimejifunza mambo mengi ya ndoa za kiislam na Tabia za Wazanzibar, Wazanzibar ndoa zao kuvunjika ni Sekunde tu ila uzur wao Wanawake wengi wakizanzibari wanazaa ndani ya ndoa na wakiachwa tu wanaolewa tena kwa ndoa, na Wakiolewa kwa mara ya pili watoto wanawapeleka kwa Bibi mzaa mama kwa mume anaenda yeye kama yeye tu, Baba watoto azalea watoto wake kama kawaida, Kesi kama hizi hazipo Zanzibar kwasabubu Bint wa kule wana zaa kwenye ndoa na hakuna tabia kama za Tanganyika Binti kuishi kinyumba na Mwanaume bila ndoa.
 
Itoshe kusema hivi mwanaume anatakiwa aoe akiwa na miaka 32 and above na aoe mwanamke aliyemzidi tofauti ya miaka kumi mpaka kumi na tano over.
Huwezi kuinguza misingi yako kwa mtu ambae mko rika moja.
Yaani wewe una miaka 25 unaoa binti ana miaka 20, 21, 22, 23, 24 au mmelingana hawezi kukusikiliza na mtafumuana sana hapo hakuna ndoa bali ni washikaji wameamua kusogezana ili wawe karibu waviziane kutafuta sababu za kuzikana mapema.
Kwa % kubwa upo sahihi. Ila pia sababu haya mambo hayana Fomula, unaweza pata mmepishana miaka michache na mambo yakaenda. Tena wapo watu wameoa mwanamke mwenye umri mkubwa na wapo vizuri tu. Ila ni exception za maisha, kwa % kubwa unalosema ni sahihi.
 
Kwa % kubwa upo sahihi. Ila pia sababu haya mambo hayana Fomula, unaweza pata mmepishana miaka michache na mambo yakaenda. Tena wapo watu wameoa mwanamke mwenye umri mkubwa na wapo vizuri tu. Ila ni exception za maisha, kwa % kubwa unalosema ni sahihi.
Sasa ujue ni nini mkuu?
Kwasasa wanaostahili ndoa hawataki ndoa.
Wasiostahili ndoa wanazitaka ndoa.
Umeiona dunia tuliyo nayo sasa hivi?

Kuna binti mmoja ni singo maza hapa nilipo,,
Kakitembeza hadi father house akamuachia usimamizi kwenye mijengo yake huku
So kifupi kana mamlaka juu yangu
On top of that kana mzee mmoja hivi ana ndinga yake huwa anakuja hapa anabandua anapita hivi..
Sasa haka kamtu bana kanatamani sana kaolewe lakini ukiangalia circle yake hakastahili ndoa japo kanaitaka sana.
Sasa wewe waza kijana wako ndie atumbukie kwa haka kabinti ghafla kitamkuta nini?
Na haka ndio sababu ya mpaka wife kuachika kwangu..
Maana ni kasimbe hakashindwi kumlengesha wife kibra huku kakimuaminisha kuwa kenyewe kanainjoi sana mwisho nilishangaa mwanamke anasepa na kusema anaenda kufanya maisha yake.
Baada ya wife kusepa haka kabinti kakaanza kuniambia ujue mimi sina gharama kabisa.
Ukipata mtu huko anataka mke wa kuoa mwambie nipo hapa nina mtoto mmoja na sina gharama.
Nikamcheki tu nikampa pesa ya umeme nikaishia town.
Kamekuwa kakifuatilia kujua kama nitamrudisha wife nakaambia noo.
Mtu akisaliti kambi akakaa zaidi ya miezi sita hastahili msamaha..
Kanakazia yaani kabisa usije ukamsamehe maana ameshakuwa paka pori tayari..
Nawaza tu sijui katajisikiaje siku naingiza mwanamke mwingine ndani
Huku kakiwa kanatarajia kuwa kama sio mimi kumrudisha wife basi nakaingiza ndani kenyewe..
Unaweza kuona ni changamoto kiasi gani inatukabili kwenye huu ulimwengu wa sasa..
Yaani ikitokea ukajitoa ufahamu ukatangaza nafasi ya kuolewa utashangaa wanaleta barua za maombi hata wale unaowaona wanadanga na wazee wenye pesa zao mjini.
Wenyewe wanakwambia hakuna kitu kitamu kama kumiliki mume ambae hata ukikuta kasimama na Aisha unamfumua Aisha na jamii yote inakusapoti..
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wanawake waliozaa nje ya ndoa ndiyo wanakua na mawazo kama yako na maneno kama yako, Mimi niliishi Zanzibar nimejifunza mambo mengi ya ndoa za kiislam na Tabia za Wazanzibar, Wazanzibar ndoa zao kuvunjika ni Sekunde tu ila uzur wao Wanawake wengi wakizanzibari wanazaa ndani ya ndoa na wakiachwa tu wanaolewa tena kwa ndoa, na Wakiolewa kwa mara ya pili watoto wanawapeleka kwa Bibi mzaa mama kwa mume anaenda yeye kama yeye tu, Baba watoto azalea watoto wake kama kawaida, Kesi kama hizi hazipo Zanzibar kwasabubu Bint wa kule wana zaa kwenye ndoa na hakuna tabia kama za Tanganyika Binti kuishi kinyumba na Mwanaume bila ndoa.
Nimekuelewa mkuu
 
Tubattle kwenye hoja
Sio mbususu mkuu.
Hizo mbususu zenyewe tunazikusanya tu moja baada ya nyingine.
Kuliliwa ni sawa inategemea unaliliwa ili iweje..unaweza kuliliwa kisa wewe ndio unalipia kodi na bills zote so haina shida mkuu.
Ukililiwa ujui wewe ni mfadhili na siyo love. Kwenye misiba wanaolia sana utasikia ooooh mjomba kaondoka nani atanilipia ada etc. Selfish reasons.
 
Sasa ujue ni nini mkuu?
Kwasasa wanaostahili ndoa hawataki ndoa.
Wasiostahili ndoa wanazitaka ndoa.
Umeiona dunia tuliyo nayo sasa hivi?

Kuna binti mmoja ni singo maza hapa nilipo,,
Kakitembeza hadi father house akamuachia usimamizi kwenye mijengo yake huku
So kifupi kana mamlaka juu yangu
On top of that kana mzee mmoja hivi ana ndinga yake huwa anakuja hapa anabandua anapita hivi..
Sasa haka kamtu bana kanatamani sana kaolewe lakini ukiangalia circle yake hakastahili ndoa japo kanaitaka sana.
Sasa wewe waza kijana wako ndie atumbukie kwa haka kabinti ghafla kitamkuta nini?
Na haka ndio sababu ya mpaka wife kuachika kwangu..
Maana ni kasimbe hakashindwi kumlengesha wife kibra huku kakimuaminisha kuwa kenyewe kanainjoi sana mwisho nilishangaa mwanamke anasepa na kusema anaenda kufanya maisha yake.
Baada ya wife kusepa haka kabinti kakaanza kuniambia ujue mimi sina gharama kabisa.
Ukipata mtu huko anataka mke wa kuoa mwambie nipo hapa nina mtoto mmoja na sina gharama.
Nikamcheki tu nikampa pesa ya umeme nikaishia town.
Kamekuwa kakifuatilia kujua kama nitamrudisha wife nakaambia noo.
Mtu akisaliti kambi akakaa zaidi ya miezi sita hastahili msamaha..
Kanakazia yaani kabisa usije ukamsamehe maana ameshakuwa paka pori tayari..
Nawaza tu sijui katajisikiaje siku naingiza mwanamke mwingine ndani
Huku kakiwa kanatarajia kuwa kama sio mimi kumrudisha wife basi nakaingiza ndani kenyewe..
Unaweza kuona ni changamoto kiasi gani inatukabili kwenye huu ulimwengu wa sasa..
Yaani ikitokea ukajitoa ufahamu ukatangaza nafasi ya kuolewa utashangaa wanaleta barua za maombi hata wale unaowaona wanadanga na wazee wenye pesa zao mjini.
Wenyewe wanakwambia hakuna kitu kitamu kama kumiliki mume ambae hata ukikuta kasimama na Aisha unamfumua Aisha na jamii yote inakusapoti..
Hako hakastahili hata kuzoeana nako, katakutega kakupe uti.
 
Wanawake waliozaa nje ya ndoa ndiyo wanakua na mawazo kama yako na maneno kama yako, Mimi niliishi Zanzibar nimejifunza mambo mengi ya ndoa za kiislam na Tabia za Wazanzibar, Wazanzibar ndoa zao kuvunjika ni Sekunde tu ila uzur wao Wanawake wengi wakizanzibari wanazaa ndani ya ndoa na wakiachwa tu wanaolewa tena kwa ndoa, na Wakiolewa kwa mara ya pili watoto wanawapeleka kwa Bibi mzaa mama kwa mume anaenda yeye kama yeye tu, Baba watoto azalea watoto wake kama kawaida, Kesi kama hizi hazipo Zanzibar kwasabubu Bint wa kule wana zaa kwenye ndoa na hakuna tabia kama za Tanganyika Binti kuishi kinyumba na Mwanaume bila ndoa.
Ina maana watanganyika ni WAZINZI
 
Akalelewe na baba yake hakuna other option ,

Huyo mtoto atakuletea migogoro hasa ukianza kumkanya (kumchapa)
 
Hako hakastahili hata kuzoeana nako, katakutega kakupe uti.
Kapuuzi sana halafu kasingo maza yaani kanuni yangu ni moja sioi single maza
Namsogeza tu ndani awe anafanya shughuli zote lakini cheti cha form4 atakisikia kwenye bomba.
Halafu haka kabinti hakajui kuwa mi navyoiona circle yake napata na kinyaa siwezi hata imagine nakaingilia eti.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Kwanini uoe single mama? Haya yote ilitakiwa uwe na majibu yake kabla ya kuingia kwenye ndoa na mama mwenye mtoto.

Kabla ya kuamua kuwa na single mama unatakiwa utafakari na uje na solutions ya mambo ambayo ulikuwa na hofu nayo huku ukifikiria kuwa na single mama.

Kupitia mambo hayo angalau utapata msingi mzuri na solution endapo kitatokea kitu ambacho ulihofia kitatokea.

Lea watoto hao maana ni mtoto wa mkeo, just be you na usi pretend.
 
Watu wanasaidia na kulea watoto baki wanaowaokota kitaa ije kuwa mtoto wa mtu ambaye umezaa nae ? Yaani ndugu wa mtoto wako ?

Mambo mengine wala huitaji kuuliza na kama roho inasita nadhani ulifanya kosa kuanzisha mahusiano na mtu mwenye mtoto
 
Mlee vizuri huyo mtoto ndio msaada wako wa badaae mambo hugeuka Broo! Mlee kama umemzaa wewe.

Fikiria kama umepata ajali umefariki then mkeo anaolewa na mwanaume mwingishe kisha ambague mtoto wako.

Mlee bila kufikiria kama baba yake yupo.
Umezungumza kihekima sana! Safi maana sometimes mbele ya safari huko hao watoto ndo huwa wanatoboa.
Yeye amlee kwa upendo wote tu..maana hata yeye ikitokea hayupo duniani mtoto wake atalelewa na mwingine.
Aonyeshe upendo tu sisi wote ni binadamu huwezi jua Mungu atakupa zawadi gani maana kwa upendo utakaoonesha mbele ya safari.
 
..akitaka kumuona mtoto wake itabidi wewe na mke wako muamze kupangiana zamu ya kumpelekea mtoto wake,
Duh,
Sasa mkuu, kwa utopolo huo si utakuwa umegeuka mtumwa wa huyo mume mwenzio?!

Halafu kwa kuwa maeneo ya kukutania siyo home, bali baba mtoto ndo anaamua na kutoa maelekezo, maana yake zamu ya mke itaambatana na yeye kutafunwa!

Dah, mtoa mada kazi anayo
 
Back
Top Bottom