Hata kama alikufa ila muwindaji muislamu kama alipiga Bismillah kabla basi Hana shida huyoUnapompiga Risasi hafi moja kwa moja.. una msogeleaaa/unamuwah unachinja.. hakikisha anakuwa bado hajafa..
Ukienda huko unakuwa vegetarian au unakomaa na seafood tu au unatafuta maduka ya halal foodHilo liko wazi kwa hapa Tanzania. Ninachojiuliza tu ni huwa wanafanyaje pindi wawapo kwenye nchi zisizo na huo utaratibu?
Je, bidhaa imported zilizotokana na nyama kama soseji wanafanyaje?
Pombe wanakunywa sembuse nyama tena ya kuku. Wengine hata kitimoto wanakula.Kuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama itakayotumika ni Muislamu.
Lakini itakuwaje ikiwa wewe si Muislamu na ukatembelewa ghafla na rafiki Muislamu wakati unamla kuku uliyemchinja mwenyewe?
1. Utamkaribisha kujumuika nawe pamoja na kuwa unajua ulichinja bila kuzingatia imani ya Kiislamu?
2. Utamjulisha ukweli kuwa ulimchinja wewe mwenyewe ili aamue mwenyewe?
3. Utamwambia asubirie umwandalie cha kwake?
Upi utakuwa uamuzi wa busara?
Nani alisema?Kwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Kwani wanakula kitimoto?Mbona kwenye kitimoto hawaji kuchinja 😂😂😂
Hivo tu??? Kwahiyo akichinja akataja Allah haina shida???Hataji jina la Allah
Sasa Wakristo wanakula wanyama waliokufa wenyewe au wanachinja? Kwanini Wafia dini wa kiislam hawali nyama ya mnyama aliyechinjwa na Mkristo ilihali sio kibudu?kibudu ni mnyama aliyekufa ..Hakuna dini inayoruhusu kula kibudu wala wanyamapori labda Fisi tu.
Nyamafu ni nyama ya mnyama aliyekufa (kibudu) bila kuuliwa kwa asili (yaani kuchinjwa). Mungu aliwakataza wana wa Israeli katika agano la kale wasile nyama ya mnyama yoyote aliyekufa bila kuchinjwa..
Ya kurost tu bila mbogambogaKwani wanakula kitimoto?
Uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu,una taratibu zake na sheria zakeSasa Wakristo wanakula wanyama waliokufa wenyewe au wanachinja? Kwanini Wafia dini wa kiislam hawali nyama ya mnyama aliyechinjwa na Mkristo?
Haramu kwa maana kwamba umemlisha nguruwe kwa makusudi au ulikuwa na maana nyengine?Hatakufa, lakini unafikiri atakuchukuliaje siku akigundua kuwa ulimlisha "haramu" kwa makusudi?
Masuala ya imani yapo very complicated. Si ya kuyachukulia kirahisi.
Kitimoto wanakula lakini hawaruhusiwi kushiba....sasa unajiuliza hela ya kununua kitimoto cha kushiba wanayo?Kwani wanakula kitimoto?
Sawa, sio vibaya wasipokulaUislamu ni mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu,una taratibu zake na sheria zake
Ili kichinjo kiwe halal hakina budi kuchinjwa na muislamu ambaye anamwamini Allah mmoja asiyeshirikishwa na yoyoye katika ufalme wake
Kuchinja ni ibada na inataratibu zake,ikiwa ni pamoja na kuelekea kibla wakati wa kuchinja na kutaja jina la Mwenyezi Mungu
Kwakuwa wasio waislamu hawana taratibu hizi basi ni haramu kula mnyama aliyechinjwa nje ya taratibu za kiislamu
Ila papuchi iliyopo kwenye mwili wa Mkristo(Kafiri) wanakula bila kutaja jina la Allah (S.A.W)Hivo tu??? Kwahiyo akichinja akataja Allah haina shida???
Shkamoo dini, shkamoo tena.
Nani aliliamuru hilo boss!!!Kwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Una uwakika na unachokisemaKitimoto wanakula lakini hawaruhusiwi kushiba....sasa unajiuliza hela ya kununua kitimoto cha kushiba wanayo?
Karibu sana. Huyu kuku nimemchinja mwenyewe. Pole sana ngoja nikuandalie mabamiaKuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama itakayotumika ni Muislamu.
Lakini itakuwaje ikiwa wewe si Muislamu na ukatembelewa ghafla na rafiki Muislamu wakati unamla kuku uliyemchinja mwenyewe?
1. Utamkaribisha kujumuika nawe pamoja na kuwa unajua ulichinja bila kuzingatia imani ya Kiislamu?
2. Utamjulisha ukweli kuwa ulimchinja wewe mwenyewe ili aamue mwenyewe?
3. Utamwambia asubirie umwandalie cha kwake?
Upi utakuwa uamuzi wa busara?
Kuna shida Gani?Muislam anaruhusiwa kula alichochinja asiyekuwa Muislam. Ila tu mchinjaji awe amechinja kweli. Wasio waislam wana tabia ya kuwapiga wanyama au kuku wanamtumbukiza kwenye maji moto anakufa kisha wanaanza kumkata kata. Muislam hali kibudu tu, kitu ambacho hakikuchinjwa. Kama umechinja vizuri kabisa yafaa kula.