stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Unajuaje ni HALAL, Kwa maneno?Hizo bidhaa huwa zinaandikwa HALAL,,zikimaanisha zimefuata sheria za kiislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje ni HALAL, Kwa maneno?Hizo bidhaa huwa zinaandikwa HALAL,,zikimaanisha zimefuata sheria za kiislamu
Wakurya huko mara, wana muda wa kusema allahKwenye migahawa nyama wanatoa buchani.. buchani nyama wanatoa machinjion.. na huko machinjion ni only Muslim anachinja .. mbona simple kaka
Machinjion...???Wakurya huko mara, wana muda wa kusema allah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila papuchi iliyopo kwenye mwili wa Mkristo(Kafiri) wanakula bila kutaja jina la Allah (S.A.W)
Uliza wenye elimu au soma je Alhul kitab wanaruhusiwaUmepotosha
Sasa mbona huelewi umeambiwa wapi wakristo wanakula ? Nionyeshe wapi waislamu wamekatazwa kula nyma iliyochinjwa na mkristo kama sio kukosa elimu.Sasa Wakristo wanakula wanyama waliokufa wenyewe au wanachinja? Kwanini Wafia dini wa kiislam hawali nyama ya mnyama aliyechinjwa na Mkristo ilihali sio kibudu?
Mna ujinga mwingi sanaKwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Ule mwezi biashara inadoda sana. Sana yaani.Kwani wanakula kitimoto?
Kuchinja sio kuuwa kwa kistaarabu, hekima ya kuchinja ni kukata kuruhusu damu itoke kwenye mshipa mkuu uleKuna shida Gani?
Kuchinja sio kuua?
Unajua logic za Dini sometimes ni ujinga sana😂😂😂 so ua Lakini ua kistaarabu
Kwa hiyo unamaanisha wateja wakubwa ni watoto wa Mwamedi?Ule mwezi biashara inadoda sana. Sana yaani.
Heee yaani nimtupie tu kuku kwenye maji moto bila kuchinjaMuislam anaruhusiwa kula alichochinja asiyekuwa Muislam. Ila tu mchinjaji awe amechinja kweli. Wasio waislam wana tabia ya kuwapiga wanyama au kuku wanamtumbukiza kwenye maji moto anakufa kisha wanaanza kumkata kata. Muislam hali kibudu tu, kitu ambacho hakikuchinjwa. Kama umechinja vizuri kabisa yafaa kula.
Mbona wapo wanaofanya hivyo. Anamtia humo anafunikaHeee yaani nimtupie tu kuku kwenye maji moto bila kuchinja
🤣 🤣 🤣Kuchinja sio kuuwa kwa kistaarabu, hekima ya kuchinja ni kukata kuruhusu damu itoke kwenye mshipa mkuu ule
Jamani jamani........😅😅😅😅😅😅Kuna mmoja alikuja kwangu akatengewa ugali na nyama ya Bata halafu akaanza kuhoji ooh samahani bro kwani nani kachinja huyu Bata nikamwambia Mimi akasema basi Mimi nimeshiba naomba maji tu ninawe nikamwambia jaba lile pale na kikombe kipo hapo nawa tu maana alishafinyanga tongue mbili halafu nikamsindikizia na Aya moja ya suratul qaafiroon
LAKUM DEENUKUM WALIYA DEENI.
😂😂😂😂
Sielewi upumbavu mimi
Hunishindi....mpaka simu imedondoka jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui hata nmecheka nini 🤣🤣🤣🤣
Mada hapa ni kuchinja, kuuwa kwingine kusikokuwa kuchinja sio hoja husika.🤣 🤣 🤣
But ukichinja unakuwa umetoa Maisha ya kiumbe mwingine.
You guys mnahangaika sana kutetea kitu ambacho hakuna tofauti ya kimantiki inayoletwa na kitendo Cha muislam au asiye muislam kuchinja.
Kuchinja ni kuua, na wanyama wote tuna wachinja kwa ajili ya chakula huwa tunawanunua kutoka kwa wafugaji ambao main purpose ni kutoa Maisha yako whenever tukitaka