Ni sahihi kumkaribisha Muislamu nyama ambayo haikuchinjwa kidini?

Ila mara nyingi wakati wa kugonga menyu/kumkaribisha mtu msosi hakuna kuuliza mtu hapo ni mwendo wa kula tu

Ova
 
Sasa Wakristo wanakula wanyama waliokufa wenyewe au wanachinja? Kwanini Wafia dini wa kiislam hawali nyama ya mnyama aliyechinjwa na Mkristo ilihali sio kibudu?
Sasa mbona huelewi umeambiwa wapi wakristo wanakula ? Nionyeshe wapi waislamu wamekatazwa kula nyma iliyochinjwa na mkristo kama sio kukosa elimu.

Nimekuambia nyama ambao haweza kula muislamu hata mkristo kakatazwa.
 
Si Bora huyo aliyechinjwa na mkristu.
Kuna mmama mmoja hapa jirani akitoa kuku kwenye Banda anamshika miguu na kugonga kichwa ukutani kisha anatupa kule. Baadaye anachukua vile vibudu na kuondoa vichwa manyoya na miguu na vya ndani. Kisha sokoni.
 
Kuna shida Gani?

Kuchinja sio kuua?

Unajua logic za Dini sometimes ni ujinga sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ so ua Lakini ua kistaarabu
Kuchinja sio kuuwa kwa kistaarabu, hekima ya kuchinja ni kukata kuruhusu damu itoke kwenye mshipa mkuu ule
 
Heee yaani nimtupie tu kuku kwenye maji moto bila kuchinja
 
Kuchinja sio kuuwa kwa kistaarabu, hekima ya kuchinja ni kukata kuruhusu damu itoke kwenye mshipa mkuu ule
🀣 🀣 🀣

But ukichinja unakuwa umetoa Maisha ya kiumbe mwingine.

You guys mnahangaika sana kutetea kitu ambacho hakuna tofauti ya kimantiki inayoletwa na kitendo Cha muislam au asiye muislam kuchinja.

Kuchinja ni kuua, na wanyama wote tuna wachinja kwa ajili ya chakula huwa tunawanunua kutoka kwa wafugaji ambao main purpose ni kutoa Maisha yako whenever tukitaka
 
Jamani jamani........πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mada hapa ni kuchinja, kuuwa kwingine kusikokuwa kuchinja sio hoja husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…