wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Ndipo siku hio nawe utajua hua una utamu wako.
Kuna Siku nawe utajua hua una utamu wako pahala Fulani.Tembea na mafutaNipo mbioni kula wake wawili wa watu kwa sababu hiyo hiyo, huyu mmoja ni mcharuko kabisa, halafu ni pisi kali, jana usiku nimekutana naye baada ya stori mbili tatu a kaniuliza flani hivi unajua kwa nini niliku kopa na sija kulipa? Nikamwambia hapana, a kaniambia "jiongeze basi" huyu ntamla tu maana hamna namna
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app