Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Uzi ulikuwa kwaajili ya social experiment. Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu wakati ni zawadi na nimeona ni nzuri tu na na afford kuzinunua?Hapana SIO SAHIHI kwa tamaduni za mwAfrika labda uko western..kuna vingi vyakuwanunulia ila sio pichu
Kwahiyo wewe kaka yako akikuletea chupi nzuri hutazivaa?Sio sahihi mtoto wa kiume kumnunulia mzazi wa kike nguo za ndani hata dada sidhani km ni sawa
Ungekuwa na mke ningekushauri yeye ndo anunnue ampelekee
Kumnunulia mke au mpenz ni sawa
Kwahiyo mkuu hata vitenge huwezi kumnunulia mama?Mimi hata mvua ikinyesha, kuanua vitenge vya mama kwenye kamba siwezi. Sembuse kumnunulia chupi ebu kuweni serious
Mkuu ni swali ambalo nimejiuliza na ndio maana sikununua nikaja kuleta uzi ili nipate kujua maoni ya wadau wa kike na wakiume.Kwa hii post inaonyesha hua unaingia chumbani kwa dada zako au mama yako.
Mtoto wa kiume hutakiwi kuingia chumbani kwa dada wala mama ila dada yako anaweza kuingia kwako hata kupekua nguo zako
Kwani ukimpatia hela akatumie atakavyo? Acheni uswaziKwahiyo mkuu hata vitenge huwezi kumnunulia mama?
Yeah nipo hapa Mbauda kata ya Sombetini. Ila sivuti bangi, nimetokea town kati hapo nilikuwa nazurura nikakutana na hilo duka.Chalii uko sombetini unavuta bangi....??
Haiwez tokea na ikitokea siwez kuvaa mm huwa namnunulia nguo mdogowangu ni Mkubwa ila hajaanza kujitegemea lkn siwez mnunulia boxer hapanaKwahiyo wewe kaka yako akikuletea chupi nzuri hutazivaa?
Mkuu samahani, hapa nimeuliza swali ili nijue chakufanya. Sijasema nimenunua ila niliwaza je ninunue? Nikaona ngoja niulize.Kwani ukimpatia hela akatumie atakavyo? Acheni uswazi
Dah asee.Haiwez tokea na ikitokea siwez kuvaa mm huwa namnunulia nguo mdogowangu ni Mkubwa ila hajaanza kujitegemea lkn siwez mnunulia boxer hapana
Ni kosa kubwa hata kufikiria kufanya hivyo. Hebu vuta picha unampelekea mam Yako chupi. Atajua labda kuna Siku ulimuona kakaa uchi bila chupi ndio maana umejiongeza.Mkuu ni swali ambalo nimejiuliza na ndio maana sikununua nikaja kuleta uzi ili nipate kujua maoni ya wadau wa kike na wakiume.
Sinaga tabia ya kuingia vyumbani mwa dada zangu hapa kwetu. Kwanza mara nyingi sipo home huwa narudi kulala tu ila mizungukoni nikiona kitu kizuri na kama nina hela huwa nawakumbuka ndugu zangu nyumbani niwanunulie.