Ni Sahihi kumnunulia dada, mama au mama mkwe nguo za ndani?

Ni Sahihi kumnunulia dada, mama au mama mkwe nguo za ndani?

Ni kosa kubwa hata kufikiria kufanya hivyo. Hebu vuta picha unampelekea mam Yako chupi. Atajua labda kuna Siku ulimuona kakaa uchi bila chupi ndio maana umejiongeza.

Wewe hadi utu uzima huo ulishawahi kuona rangi ya chupi anayovaa mama yako?? Binafsi sijawahi ona na kama mama yako hua unaziona na anafua anaanika nje. Hesabu huna mama hapo
Duh asee kweli tuko tofauti mkuu. Nadhani pia malezi na familia zetu ni tofauti. Kuanika nguo nje kambani mbona ni kawaida.
 
Screenshot_20230311_111618_Chrome.jpg
 
Hapana sio sawa.

Nguo za ndani (hasa za kike) zinahusishwa na utupu wa mtu na hupaswi hata kuutafakari utupu wa mama ama dada yako.
Umenena vyema mkuu [emoji817] yaani mimi huwa nikiona chupi za kike kwenye kamba akili yangu inaanza kuhisi kama vile ndo namuona mwenye hizo chupi yupo uchi mbele yangu
 
Yeah nipo hapa Mbauda kata ya Sombetini. Ila sivuti bangi, nimetokea town kati hapo nilikuwa nazurura nikakutana na hilo duka.
Mtu anakaa mbauda na mnamuona ana utashi wa kufikiria kweli?
Sasa huyu angepita maduka ya sinza palestina si angetaka kumnunulia mama yake au mama mkwe wake yale makalio ya bandia huyu.
 
Mtu anakaa mbauda na mnamuona ana utashi wa kufikiria kweli?
Sasa huyu angepita maduka ya sinza palestina si angetaka kumnunulia mama yake au mama mkwe wake yale makalio ya bandia huyu.
Acha dharau mkuu. Mbauda ni town kuliko Sinza. Piga hesabu ya KM kutoka Sinza mpaka downtown na kutoka Mbauda mpaka downtown uone nani anaishi mbali na mji
 
Acha dharau mkuu. Mbauda ni town kuliko Sinza. Piga hesabu ya KM kutoka Sinza mpaka downtown na kutoka Mbauda mpaka downtown uone nani anaishi mbali na mji
Utoke sinza uende mjini wapi. Sinza tu mjini.
Wewe chupi za mtumba umetamani. Tena mpaka kumnunulia mkwe. Daaah mkwe. Tena unauliza mbele za watu.
 
Back
Top Bottom