Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Wapo wataalam wa kukadiria kwa macho mkuuSize zao unazijua? π π Tuaanzie hapa.. ππππ Mbonaa vizuri vya kuwanunulia vipo vingi tuu.. Ila sijui inategemea mnaishi kwa style ipi.. π
Ahsante kwa kunielewa. Waswahili hawataelewaKweli mkuu maana unaweza ukaondoa kitenge kumbe kilikua kimefunika mzuka wa mama yako. Itakua taharuki kuuuubwa
Mama yako Mzazi huwezi kuanua nguo zake!Mimi hata mvua ikinyesha, kuanua vitenge vya mama kwenye kamba siwezi. Sembuse kumnunulia chupi ebu kuweni serious
Wewe!Ni kosa kubwa hata kufikiria kufanya hivyo. Hebu vuta picha unampelekea mam Yako chupi. Atajua labda kuna Siku ulimuona kakaa uchi bila chupi ndio maana umejiongeza.
Wewe hadi utu uzima huo ulishawahi kuona rangi ya chupi anayovaa mama yako?? Binafsi sijawahi ona na kama mama yako hua unaziona na anafua anaanika nje. Hesabu huna mama hapo
Kwanini nyie feminist mnapingana na tamaduni zetu za Afrika zenye staraMama yako Mzazi huwezi kuanua nguo zake!
Itakua una matatizo
Kuna Watu wana Mila sijui Malezi ya ajabu sanaDuh asee kweli tuko tofauti mkuu. Nadhani pia malezi na familia zetu ni tofauti. Kuanika nguo nje kambani mbona ni kawaida.
Kwamba ni ajabu au?Kuna Watu wana Mila sijui Malezi ya ajabu sana
Wasokua na maadili wanaopigana mabusu na mama zao au dada zao au kinyume chake watakuja juu. Maana wengine wanavaliana vimodo au majeje na Dada zaoAhsante kwa kunielewa. Waswahili hawataelewa
Hiyo ni stara au ujinga,Kwanini nyie feminist mnapingana na tamaduni zetu za Afrika zenye stara
Niulize, kimekujia nini kichwani mpaka ukataka kutoa hiyo zawadi. Every gift has a meaning behind it! Sasa niulize lengo la hiyo zawadi ni nini hasa, na ukishaitoa ukawapa hao watu, halafu wakaamua kukuuliza, "mwanangu lengo la hii zawadi ni nini hasa". Ukiweza kutoa jibu lakueleweka unafaa kuitwa wisest man on earth maana kila jibu utakalotoa litaibua swali lingine mwishowe itagundulika una tabia fulani sio ya kawaida kibinadamu au laa sio kawaida kwa jamii yetu.Wakuu za Weekend.
Leo nimepita mahali nikaona duka wanauza nguo za kike nikaingia.
Nimekuta humo nguo za kike za ndani nzuri kweli. Nimetamani kununua ila sina mke na sina manzi wala mtoto wa kike.
Nimejiuliza sana je itakuwa sawa nikinunua nikampa zawadi mama au dada zangu?
Au kama ningekuwa nimeoa labda ninunue dozen mbili moja nimpe wife na nyingine nimpe mama yake (mama mkwe?)
Hili mnalichukuliaje?
Kama ni sawa niambieni nirudi nichukue kabla hii hela sijaiweka kwenye mikeka yangu maana leo weekend kuna mechi nyingi nzuri.
Mkuu nimeona chupi za kike nikawaza nina mama na ndugu wa kike. What else?Niulize, kimekujia nini kichwani mpaka ukataka kutoa hiyo zawadi. Every gift has a meaning behind it! Sasa niulize lengo la hiyo zawadi ni nini hasa, na ukishaitoa ukawapa hao watu, halafu wakaamua kukuuliza, "mwanangu lengo la hii zawadi ni nini hasa". Ukiweza kutoa jibu lakueleweka unafaa kuitwa wisest man on earth maana kila jibu utakalotoa litaibua swali lingine mwishowe itagundulika una tabia fulani sio ya kawaida kibinadamu au laa sio kawaida kwa jamii yetu.
Sasa geuza hilo jibu kwangu, fanya unamwambia mama yako mzazi. Halafu take her shoes nauanze kuwaza anawaza nini kichwani hata kama akikujibu jibu la sawa. Uzuri wa nguo za ndani za kike umeujuaje, kama kwa mpenzi wako je, mama ni mpenzi wako maana hujawahi hata siku moja kumuona mama kavaa nguo zake za ndani. Lasivyo kuna boundary limits zipo baina ya mzazi na mtoto ndio maana akaitwa mzazi na wewe ukaitwa mtoto. Kumbuka hujibizani na vijana wenzako bali na mama yako mzazi.Mkuu nimeona chupi za kike nikawaza nina mama na ndugu wa kike. What else?
Enhee navaa mapensi nyanya.Kwahiyo wewe mda wote coochie inakula mahewa tu?
Hahaha manka leka naiyoEnhee navaa mapensi nyanya.