Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
Nyie mafala mnatumia matako kuwaza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu huko kwenuDaah vitu vingine aibu hata kuongea
Chura mkubwa au?Itakupwelepweta 😂😂😂
Mshamba huyoMatusi ya nini? mtu kauliza kwa ustaarabu
Acha hizo mkuu.
Asante kwa ushauriDada, mkwe,
Hawanunuliwi vitu,
Bali wanapewa hela
Hawa watu wamekulia vijijini huko wanaanika chupi chini ya kitanda ndio maanaWatu bhana mnafanya maisha yawe complicated sana, we fika reception mpigie dada au huyo mama yako mpe mtu wa reception awasikilize kujua sizes zao we unapewa mzigo ukiwa packed unafanya kuwapelekea mbona easy. na wala haina tafsiri mbaya
Chalii uko sombetini unavuta bangi....??
Kwahiyo wewe mda wote coochie inakula mahewa tu?Nitamwambia sivaagi asante!!
Nilikuwa mahali napata lunch. Ila nimeona majibu humu karibu yote ni negative na wengine wamesema hawavai chupi nimeamua bora sasa niende mahali hii hela nikanywe tu beer.Umerudi kuzichukua au bado?
Kweli mkuu maana unaweza ukaondoa kitenge kumbe kilikua kimefunika mzuka wa mama yako. Itakua taharuki kuuuubwaMimi hata mvua ikinyesha, kuanua vitenge vya mama kwenye kamba siwezi. Sembuse kumnunulia chupi ebu kuweni serious
Hapo akiinunua ataachiwa kazi ya kusafisha miji na majiji kuokota chupa na karatasi. Utaibeba duniaHuna mke Ila una mama mkwe.
Basi mnunulie bimkubwa Kama umechoka kuishi.
BoraNilikuwa mahali napata lunch. Ila nimeona majibu humu karibu yote ni negative na wengine wamesema hawavai chupi nimeamua bora sasa niende mahali hii hela nikanywe tu beer.
Kumbe ni huko kwa washirikina?Kweli mkuu maana unaweza ukaondoa kitenge kumbe kilikua kimefunika mzuka wa mama yako. Itakua taharuki kuuuubwa
Washirikina kivipi tena? Mzuka sianavaa mtu yoyote akitaka? Nimesema mzuka kupunguza ukali wa manenoKumbe ni huko kwa washirikina?
Size zao unazijua? 😂 😂 Tuaanzie hapa.. 😁😁😁😁 Mbonaa vizuri vya kuwanunulia vipo vingi tuu.. Ila sijui inategemea mnaishi kwa style ipi.. 😂Wakuu za Weekend.
Leo nimepita mahali nikaona duka wanauza nguo za kike nikaingia.
Nimekuta humo nguo za kike za ndani nzuri kweli. Nimetamani kununua ila sina mke na sina manzi wala mtoto wa kike.
Nimejiuliza sana je itakuwa sawa nikinunua nikampa zawadi mama au dada zangu?
Au kama ningekuwa nimeoa labda ninunue dozen mbili moja nimpe wife na nyingine nimpe mama yake (mama mkwe?)
Hili mnalichukuliaje?
Kama ni sawa niambieni nirudi nichukue kabla hii hela sijaiweka kwenye mikeka yangu maana leo weekend kuna mechi nyingi nzuri.