Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Hujajibu swali mkuu zingatia swali la mleta mada wewe umeleta alternative means ya yeye kucheat.Inategemea tuu mtu anaweza kukusaliti hata kama hatoki nyumbani kwenda kutafuta riziki....
Ila inataka moyo dah...
Mmh halafu iwe....wanasema katika uislamu mwanamke kazi yake ni kukaa na kujiremba tu.marufuku kufanya kazi
You nailed it Manigga thats enough wa kuelewa aelewe tatizo la kizazi cha sasa kina wanaume wengi uchwara sanaNdiyo maana nikasema katika wanaume kuna wanaume, wanaume sisi ndiyo tunajukumu la kutafuta siyo mwanamke, sasa kama unaleta hofu ya mambo ambayo yako nje ya uwezo wako na si kazi yako, athari yake ni kuja kumtegemea mwanamke akuletee hela kwa kisingizio kwamba mnatafuta wote, hili halipo na ujinga huu umekuja zama hizi,mwisho wa siku mnafanya kazi mara mbili,ya kwanza ni hii na ya pili nitaisema ikibidi.
Waulize..wakijibu niite shoga....mie naparanganya balaa..juzi nimerudi hom saa6 usk ..nimetoka k2enye side husstle..wanaume wenyewe hawa wa kupokea 700k inatosha nn?Usipomruhusu hela ya kumhudumia unayo?!!!
Hapo sasa!!!! Ukae ndani kama kochi na hela haipoWaulize..wakijibu niite shoga....mie naparanganya balaa..juzi nimerudi hom saa6 usk ..nimetoka k2enye side husstle..wanaume wenyewe hawa wa kupokea 700k inatosha nn?
🤣🤣kama kitambaa cha mezaHapo sasa!!!! Ukae ndani kama kochi na hela haipo