Ni sahihi kumuheshimu boss wako/ Mchungaji/Sheikh /Padre kuliko Mumeo/Mkeo?

Ni sahihi kumuheshimu boss wako/ Mchungaji/Sheikh /Padre kuliko Mumeo/Mkeo?

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,489
Reaction score
4,253
Kutana naye ofisini /sehemu ya ibada
Utasema mwanamke ndiye huyu! Anavyomnyenyekea boss wake, utasema ana heshima Sana. Boss ataulizwa nikupe chai au kahawa? Kuna kitu unahitaji, tabasamu Kama lote. Ushawahi kukutana na wadada wa customer care? Utasema hapa ndiyo penyewe 😁

Kanisani nako unyenyekevu upo sana, tena usiombe umkute kwenye "ibada ya kukanyaga mafuta 😀" akiambiwa vua viatu,anavua Hakuna maswali anatii. Kuna lugha huwezi kuzisikia mwanamke akizitoa kwa pastor wake. Ukikutana naye hapo utasema umepata dodo kwenye mchongoma

WAKIJA NYUMBANI SASA! LORD HAVE MERCY.
ukisikia jinsi mtu anamjibu mme wake utauliza hivi, huyu ndiye fulani wa pale kanisani? Ni unafiki au kitu gani ndugu zangu kwanini heshima mnayoitoa huko msizidishe nyumbani?

Nawasubiri hapa na Fanta pineapple ya Baridi
 
Maisha ni haya ukae kujua ukiwa nyumbani kama wewe ni mwanaume heshimu mke wako , kama ni mwanamke muheshimu mume wako, kama upo kanisani halijiendeshi lenyewe Lina wafanyakazi wake basi weka heshima ili uheshimiwe, hata mbwa wako home muheshimu, ili asije akaacha kuhudumia , kila mahali heshimu watu. Vitu wanyama wanyumbani hata paka mweshimu.
 
Maisha ni haya ukae kujua ukiwa nyumbani kama wewe ni mwanaume heshimu mke wako , kama ni mwanamke muheshimu mume wako, kama upo kanisani halijiendeshi lenyewe Lina wafanyakazi wake basi weka heshima ili uheshimiwe, hata mbwa wako home muheshimu, ili asije akaacha kuhudumia , kila mahali heshimu watu. Vitu wanyama wanyumbani hata paka mweshimu.
Hilo nalo mkalitizame 🙏🙏
 
Hahaha huenda huyo mume hasimami kama mwanaume ndani ya nyumba. Lazima kuna sababu kubwa sana ya yeye kushushiwa heshima
Wachungaji ndio wanasimama eeh? 😀😀
 
Hahaha huenda huyo mume hasimami kama mwanaume ndani ya nyumba. Lazima kuna sababu kubwa sana ya yeye kushushiwa heshima

Kutosimama kama mwanaume kwa wengi means kutokuwa na pesa.
Wanawake wachache sana uwaheshimu waume zao wasio na kitu.
Heshima ni matokeo ya malezi.Kama hakufunzwa heshima kwao huwezi mbadilisha
 
Huyo sio ana heshima ana uoga. Mtu mwenye heshima hana mipaka hata mtoto Mdogo au asiye na kitu atamuheshimu tu.
Heshima ni matokeo ya malezi.
Huko ni uoga na sio heshima
 
Kutosimama kama mwanaume kwa wengi means kutokuwa na pesa.
Wanawake wachache sana uwaheshimu waume zao wasio na kitu.
Heshima ni matokeo ya malezi.Kama hakufunzwa heshima kwao huwezi mbadilisha
Kwani mapastor wanawapa sadaka?
 
Back
Top Bottom