Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaMaisha ni haya ukae kujua ukiwa nyumbani kama wewe ni mwanaume heshimu mke wako , kama ni mwanamke muheshimu mume wako, kama upo kanisani halijiendeshi lenyewe Lina wafanyakazi wake basi weka heshima ili uheshimiwe, hata mbwa wako home muheshimu, ili asije akaacha kuhudumia , kila mahali heshimu watu. Vitu wanyama wanyumbani hata paka mweshimu.
🤣🤣🤣🤣🤣Mungu atusaidie kwakweli, wake za wachungaji mioyo wanayo!! Maana kila kondoo anavyomchangamkia mchungaji utaskia "yes, dady "
kutana naye ofisini /sehemu ya ibada
Utasema mwanamke ndiye huyu! Anavyomnyenyekea boss wake, utasema ana heshima Sana. Boss ataulizwa nikupe chai au kahawa? Kuna kitu unahitaji, tabasamu Kama lote. Ushawahi kukutana na wadada wa customer care? Utasema hapa ndiyo penyewe [emoji16]
Kanisani nako unyenyekevu upo sana, tena usiombe umkute kwenye "ibada ya kukanyaga mafuta [emoji3]" akiambiwa vua viatu,anavua Hakuna maswali anatii. Kuna lugha huwezi kuzisikia mwanamke akizitoa kwa pastor wake. Ukikutana naye hapo utasema umepata dodo kwenye mchongoma
WAKIJA NYUMBANI SASA! LORD HAVE MERCY.
ukisikia jinsi mtu anamjibu mme wake utauliza hivi, huyu ndiye fulani wa pale kanisani? Ni unafiki au kitu gani ndugu zangu kwanini heshima mnayoitoa huko msizidishe nyumbani?
Nawasubiri hapa na Fanta pineapple ya Baridi
Tujifunze basi kwa wachungaji kuearn respect, maana hili ni janga la taifa!! Mpaka unajiuliza au kaolewa na kanisa?
Uwaombea wapateKwani mapastor wanawapa sadaka?
NakaziaHili huwa halina excuse, kumtii mume ni wajibu sio ombi. Awe na ndevu au kipara as long as ni mume lazma umtii
Umenikumbusha ya wifi 😄😄😄😄 halafu mimi sitaki umbea unajua, Baba Mchungaji aheshimiwe na mume unamtii 😜😜😜😜 NgalikihinjaNakadori , kwenye hili hakuna cha huenda wala nini..!! Wanawake na wachungaji zenu mna tatizo kubwa sana.
CC Bantu Lady
Fungukaa, tujifunzeUmenikumbusha ya wifi 😄😄😄😄 halafu mimi sitaki umbea unajua, Baba Mchungaji aheshimiwe na mume unamtii 😜😜😜😜 Ngalikihinja
Missing u🤣🤣🤣🤣🤣
Na hamkawii kuja na maneno kama BABA MCHUNGAJI KASEMA HILI NI DHAMBI, TULIACHEHahaha pastor anahudumiwa kuliko mwenye mali 🤣🤣🤣
Usije ukadhani wenye hela hawadharauliwi na wake zao..!!Kutosimama kama mwanaume kwa wengi means kutokuwa na pesa.
Wanawake wachache sana uwaheshimu waume zao wasio na kitu.
Heshima ni matokeo ya malezi.Kama hakufunzwa heshima kwao huwezi mbadilisha
Kwahiyo hawa uliowatag hapa ndio hawawaheshimu waume zao au?
Ongezea nyama kidogoSio sahihi hata kidogo