Ni sahihi kumwambia rafiki yako mpenzi wake akikutaka?

Hahahahaaa.. ukute mke hana busara atagombana kweli na rafiki yake. Mi sikurupuki. Nakusikiliza nachukua maamuzi mwenyewe.
 
Dada kauzu huyo
Nilipewa wiki nzima kutafakari ipi njema! Nikachagua ya pili nikiamini ye hana guts kwenda kusema but she did it. Japo hata mi nilimchana mchizi ila urafiki ulikufa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inategemea na mtu,mimi marafiki zangu wote wana namba ya mpenzi wangu,baadhi walijaribu mpenzi akanipa habari nikawa kila nikiwa na babe mmoja wao yupo nawaonyesha actions tu kuwa nishajua,mimi pia nina namba za marafiki zake karibu wote na wengi wao nimeshawatongoza lakini wanampa habari mpenzi wangu akiniuliza mimi nakataa na maisha yanaendelea.
 
yani ukisemelea tu kwa rafiki yako kwamba mpenzi wake kakutongoza basi jua mambo yafuatayo kutokea

-kumpoteza rafiki yako maana atakuchukia sababu mpenzi wake kakaupenda sana wewe kwa hiyo ataona kama wewe utamuwekea kauzibe fulani hivi

-rafiki yako na mpenzi wake wataachana na kama hawataachana na kusameheana basi jua kuwa wewe uwezi tena kuwa na urafiki na rafiki yako kama mwanzo
 
kuna mtu mmoja alimwambia rafiki yake kuwa mke si mwaminifu analiwa hovyo..
unajua alijibu nini?
"nani alikupa kazi ya kumfuatilia mke wangu?"
 
Haha naona unatetea chama lenu la wachepukaji
 
Umeguswa bby.. hahahahahaa. Kweli hata mimi naona ni uchonganishi bora umwambie tu shemeji unavyofanya sio poa ukirudia nakushtaki.
Baby nimeguswa saaana na hilo swala..binadamu wengine siowatu ujue..hawapendi mema yatokee kwa wenzao,so wanaleta uchonganishi.
 
Simwambii,sitaki kuwa chanzo cha ugomvi wao.Nitaacha nature iamue,kama kuachana waachane kwa sababu nyingine,sio Mimi.
Nikimwambia alafu wasiachane hii sura yangu mbaya nitaificha wapi?
Nia ya kumwambia ni nini??
 
Kimbelembele hicho
kuna mtu mmoja alimwambiabrafiki yake kuwa mke si mwaminifu abaliwa hovyo..
unajua alijibu nini?
"nani alikupa kazi ya kumfuatilia mke wangu?"
 
Kama vile nikimuacha bby wangu atanipa mwingine.
Baby nimeguswa saaana na hilo swala..binadamu wengine siowatu ujue..hawapendi mema yatokee kwa wenzao,so wanaleta uchonganishi.
 
Utabaki na aibu yako.
Simwambii,sitaki kuwa chanzo cha ugomvi wao.Nitaacha nature iamue,kama kuachana waachane kwa sababu nyingine,sio Mimi.
Nikimwambia alafu wasiachane hii sura yangu mbaya nitaificha wapi?
Nia ya kumwambia ni nini??
 
Sasa hapo aibu inaweza kupelekea kuvunja urafiki wakati bado namhutaji rafiki yangu.
Wanamme wanapita tu kumpata rafiki wa dhati ni kazi sana.Ila vile vile kuna kutazama udeep wa mahaba yao.Kama najua rafiki yangu 'hajafika' pengine kwa mbaliiii naweza kufikiria kumwambia.
Utabaki na aibu yako.
 
Eeeeh kama hajazama sana sawa. Ila unaona kabisa rafiki yako hapindui na bado unaenda peleka maneno utabaki na aibu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…