Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

Kuna maswali mawili ndani ya swali moja:
1: Kunywa dawa na baadaye kunywa maziwa.
2: Kunywa dawa kwa kutumia maziwa.

Jibu ni:
Inategemea aina ya dawa:
1: Kuna dawa kulingana na zilivyotengezwa na vilivyomo, zinayeyuka vyema kwenye maziwa. Hivyo, hurahisisha dawa kufyonzwa na kuingia mwili.

2: Kuna dawa kwa jinsi zilivyotengenezwa na vilivyomo, vikikutana na maziwa hutengeneza mchanganyiko ambao mwili hauwezi kufyonza dawa husika. Hivyo, dawa nyingi hupitiliza na kufanya lengo la dawa kutofikiwa.

Mtoa huduma ya afya huweza kushauri, dawa hii ukitumia kunywa maziwa ni jambi jema au usinyewe maziwa unapotumia dawa hii.

Kwa msingi huo, usimpe mtu maziwa kama amekunywa sumu iwapo hujui SUMU husika INAYEYUKA vyema kwenye maziwa. Maana badala ya kumuokoa unaweza KURAHISISHA KIFO kwa kusababisha sumu kufyonzwa vyema.
Asante.Nilimaanisha mtu kunywa maziwa mgando baada ya kumeza vidonge.
 
Wakuu kwema?

Ni sahihi mtu kunywa dawa (Vidonge)na akatumia maziwa mgando?

Asanteni
Baadhi ya dawa hupunguzwa makali eg erythromycin ila baadhi zinakua well absorbed in presence of fats kama mseto na griseofulvin
 
Baadhi ya dawa hupunguzwa makali eg erythromycin ila baadhi zinakua well absorbed in presence of fats kama mseto na griseofulvin
Hii dawa inaitwa FENZA ni dawa anakunywa mjamzito anakunywa kidonge kimoja kwa siku.
 
Back
Top Bottom