Anakuwa "roho-mtakafujo" huyo.Halafu hiyo ni moja ya Sababu naenda kanisani kwa kuhesabu...kelele
Yaan unafanya maombi, uwepo wa Mungu unakuwa haupo baina yenu .. kelele
Yaan kelele jaman ..sidhani kama roho mtakatifu anakaa mahali penye fujo .🙌
Hakika hakika aiseeAnakuwa "roho-mtakafujo" huyo.
Ukiona hivyo ujue hauongozwi na kuamini/kusadiki chochote zaidi ya njaa.Kungekua nakiumbe kinajibu na kusaidia watu kweli wala usingehitaji kuomba.
Mkuu sihitaji kuamini nataka kujua.Ukiona hivyo ujue hauongozwi na kuamini/kusadiki chochote zaidi ya njaa.
Amini,amini nakuambia,huwezi kuiona sauti hata siku ya ufufuo.Najua huamini kwenye ufufuo.Mkuu sihitaji kuamini nataka kujua.
Mkuu sihitaji kuamini nataka kujua .Amini,amini nakuambia,huwezi kuiona sauti hata siku ya ufufuo.Najua huamini kwenye ufufuo.
Ok.Nakutumia tisheti imeandikwa "KAJUA YOTE"!Mkuu sihitaji kuamini nataka kujua .
Aiseee!Imani ni kitu kingine.Air pollution is ticking!Ila,tuishi hivyohivyo tu.Kibongobongo kelele mingi ndo kuonyesha una imani.
Maombi yenye nguvu na uvuvio wa kiroho hayana na hayataki keleleKwa nijuavyo kuna aina tofauti za maombi. Maombi binafsi yanayohusu haja zako binafsi. Kuna maombi ya jumla kuombea watu wengine mfano uponyaji na kuna maombi ya vita kama vile kukemea hali fulani.
Swali langu kwa waombaji, je ni sahihi kutumia kipaza sauti wakati wa kuomba maombi binafsi?
Mkuu omba usiombe magonjwa yapo , omba usiombe changamoto zipo , omba usiombe ups and downs zipo sioni haja ya kuomba kitu ambacho hakipo.Ok.Nakutumia tisheti imeandikwa "KAJUA YOTE"!
Umeandika kisomi mnoo!Uwe unaturahisishia na kwa mifano muheshimiwa.IPO - hakuna maombi ya VITA
Ila ukijiona unakuwa na misfortunes, haufanikiwi n.k jaribu kuifuta hiyo hali na sio kukemea.
Kuhusu maombi binafsi na kuombea WATU , kinacholeta nguvu ni ile kuombea WATU mema na sio kujiombea wewe binafsi . hapa itakurudia hiyo karma kwa haraka .
So hamna maombi ya VITA na ukifanya hivi utakuwa unakosea kuomba ukipiga positive usiweke na negative.
Kuhusu kutoa sauti au kimya - hii haina madhara yoyote .
Huna roho mtakatifu wewe!Fumba macho uombewe.Pokeaaaa hata kama ni maji ya kunywa.Mkuu omba usiombe magonjwa yapo , omba usiombe changamoto zipo , omba usiombe ups and downs zipo sioni haja ya kuomba kitu ambacho hakipo.
Kwa nijuavyo kuna aina tofauti za maombi. Maombi binafsi yanayohusu haja zako binafsi. Kuna maombi ya jumla kuombea watu wengine mfano uponyaji na kuna maombi ya vita kama vile kukemea hali fulani.
Swali langu kwa waombaji, je ni sahihi kutumia kipaza sauti wakati wa kuomba maombi binafsi?