Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Vipi kuhusu yule mfarisayo na mtoza ushuru?Hakuna formula ya namna ya kuomba...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu yule mfarisayo na mtoza ushuru?Hakuna formula ya namna ya kuomba...
Huko nilishatoka mkuu, mtu akijizatiti kuomba hewa anajenga kwenye akili tumaini hewa na kujisahaulisha changamoto , ndio anaona tayari huyo roho mtakatifu ameshamshukia , matatizo yapo pale pale , magonjwa na kifo kipo pale pale, omba usiombe hakuna utakachobadilisha, nanyi farijianeni kwa maneno hayo tu, 1wathethalonike 4-18.Huna roho mtakatifu wewe!Fumba macho uombewe.Pokeaaaa hata kama ni maji ya kunywa.
Mkuu haya yanaitwa maombi ya kuvunja nira.Unatakiwa upige maombi ya kuwehuka namna hii...👇🤣
View attachment 3178585
Sio Lazima, soma Mathayo 6Kwa nijuavyo kuna aina tofauti za maombi. Maombi binafsi yanayohusu haja zako binafsi. Kuna maombi ya jumla kuombea watu wengine mfano uponyaji na kuna maombi ya vita kama vile kukemea hali fulani.
Swali langu kwa waombaji, je ni sahihi kutumia kipaza sauti wakati wa kuomba maombi binafsi?
Aiseee noma sana..😂Mkuu haya yanaitwa maombi ya kuvunja nira.
Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao. 6Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
7 Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. 8Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.
Maombi ya vita yapo. Mfano kama unasoma biblia kuna mahali Petro alipiga kelele kuomba msaada ili asizame. Na pia kuna kipofu alipiga kelele kuomba uponyaji.IPO - hakuna maombi ya VITA
Ila ukijiona unakuwa na misfortunes, haufanikiwi n.k jaribu kuifuta hiyo hali na sio kukemea.
Kuhusu maombi binafsi na kuombea WATU , kinacholeta nguvu ni ile kuombea WATU mema na sio kujiombea wewe binafsi . hapa itakurudia hiyo karma kwa haraka .
So hamna maombi ya VITA na ukifanya hivi utakuwa unakosea kuomba ukipiga positive usiweke na negative.
Kuhusu kutoa sauti au kimya - hii haina madhara yoyote .
Maombi ya vita yapo. Mfano kama unasoma biblia kuna mahali Petro alipiga kelele kuomba msaada ili asizame. Na pia kuna kipofu alipiga kelele kuomba uponyaji.
Unaweza kuwa umelala usiku, ghafla unashtuka hupati hewa ya kutosha ilihali madirisha yapo wazi. Hapo sidhani kama utaomba kawaida maana hiyo ni vita.