Ni sahihi kupigwa na Mwenzi hata kama umekosea?

Ni sahihi kupigwa na Mwenzi hata kama umekosea?

Yaani akikulaza Chini yeye akawa juu, utaipata fresh 🙌

Utapigwa makofi hadi uombe msaada Kwa majirani

Sasa Mwanaume utaanzaje kuomba msaada? Napigwa jamani, napigwa huku 😜🙌
😂 itabidi tu ufanye hivyo maana hakuna namna nyingine.

Kuna mzee mmoja alikuwa anabondwa kisawasawa na chibonge wake, watoto wakawa ndio wanatoka nje kupiga mayowe ya kuomba msaada mama anampiga baba 😂
 
😂 itabidi tu ufanye hivyo maana hakuna namna nyingine.

Kuna mzee mmoja alikuwa anabondwa kisawasawa na chibonge wake, watoto wakawa ndio wanatoka nje kupiga mayowe ya kuomba msaada mama anampiga baba 😂
Hatari Mkuu 😅

Kwa kweli inahitaji ujasiri kuweza Kuoa Mke mnene kama alivyo yule Asha Boko 🙌

Yaani muda wote unatakiwa kumfanya afurahi tu, vinginevyo ukimuudhi unajua kitakachokutokea 😜🙌
 
Hatari Mkuu 😅

Kwa kweli inahitaji ujasiri kuweza Kuoa Mke mnene kama alivyo yule Asha Boko 🙌

Yaani muda wote unatakiwa kumfanya afurahi tu, vinginevyo ukimuudhi unajua kitakachokutokea 😜🙌
Mwanamke mnene vile siwezi oa, sio kwa kuhofia kipigo ila sio chaguo langu.
 
Mwanamke mnene vile siwezi oa, sio kwa kuhofia kipigo ila sio chaguo langu.
Mimi pia siwezi kuoa Mke wa hivyo😜

Japo niliwahi kudate Mhindi mmoja hivi alikuwa na 130kg halafu Mimi niko na 65kg miaka ile ya Ujana

Nilidownload hadi dictionary ya kihindi kabisa ili kujua anachokiongea, maana Siku akikasirika basi ataongea kihindi Siku mzima hadi hasira zake ziishe 😜
 
Mimi pia siwezi kuoa Mke wa hivyo😜

Japo niliwahi kudate Mhindi mmoja hivi alikuwa na 130kg halafu Mimi niko na 65kg miaka ile ya Ujana

Nilidownload hadi dictionary ya kihindi kabisa ili kujua anachokiongea, maana Siku akikasirika basi ataongea kihindi Siku mzima hadi hasira zake ziishe 😜
😂 hao wakikasirika si wanaweza kuimba usiku kucha kama tuonavyo kwenye muvi.

Profile yako imesheheni haswa hadi wahindi 🙌 siwezi date mhindi.
 
Kuna baadhi ya Wanawake wameumbwa ni wababe tu kama ilivyo baadhi ya Wanaume wenzetu kuwa wababe Kwa wake zao🙌

Kuna askari mmoja wa jwtz, jirani yetu alikuwa akipigwa sana na Mkewe (Mbabe) mara kwa mara

Kutokea hapo nilijiapizaga nikija Kuoa Mwanamke mnene Mimi, labda sio Grahams Mimi 🤗🙌

Maana jamaa Mkewe alikuwa mnene kaenda hewani halafu ndiyo Mbabe 🙌
Unawasema wanyaki kijanja janja 🤣🤣🤣
 
😂 hao wakikasirika si wanaweza kuimba usiku kucha kama tuonavyo kwenye muvi.

Profile yako imesheheni haswa hadi wahindi 🙌 siwezi date mhindi.
Wangu ilikuwa akikasirika basi ataongea mno, ugomvi wetu ilikuwa wivu kupitiliza

Akiona chats za Mwanamke yeyote basi anahisi nachepuka naye 🙌

Kuna wakati umejiandaa kwenda kula good time, ile umepiga cha kwanza unataka kurudia cha pili anaanza kukusomea mashtaka basi mtagombana hapo hadi asubuhi

Na bila kutumia mbinu utaishia kupiga hicho hicho kimoja, kwahiyo ili uendelee akilala basi unamlia timing akija kushtuka anakuta imoo 🏃🏃🏃
 
Wangu ilikuwa akikasirika basi ataongea mno, ugomvi wetu ilikuwa wivu kupitiliza

Akiona chats za Mwanamke yeyote basi anahisi nachepuka naye 🙌

Kuna wakati umejiandaa kwenda kula good time, ile umepiga cha kwanza unataka kurudia cha pili anaanza kukusomea mashtaka basi mtagombana hapo hadi asubuhi

Na bila kutumia mbinu utaishia kupiga hicho hicho kimoja, kwahiyo ili uendelee akilala basi unamlia timing akija kushtuka anakuta imoo 🏃🏃🏃
Na punjabi dictionary pembeni😂
We mzee wewe hatari sana.
 
Ukimkuta mwanaume asiye na maarifa ndo anaweza endeshwa na mwanamke, lkn mwanaume yeyote mwenye maarifa hawezi pigwa na mwanamke kivyovyote vile yaani hata mwanamke akikasirika vipi awe mnene kivipi awe mrefu kivipi nauhakika hawezi kamwe kufanya ugomvi Kwa mwanaume mwenye maarifa ndiyo maana hata biblia ikasema ishini nao Kwa akili

Mwanamke ni ua tu Kwa mwanaume mwenye maarifa (akili).

Hata akiwa amekasirika vipi mwanaume akifika lzm atulie.

Ukiona mwanamke anataka Ligi jua kakushusha kupita kawaida yaani huna haja kabisa ya kuishi naye hata kama ni profesa akija kwangu atajaa tu na darasa la Saba langu.

Hivyo basi kuwa mwanaume siyo kuwa na uume tu Bali hisia, akili na na tabia lzm ziendane na uanaume
 
Back
Top Bottom