Ni sahihi kupigwa na Mwenzi hata kama umekosea?

Ni sahihi kupigwa na Mwenzi hata kama umekosea?

Kuna baadhi ya Wanawake wameumbwa ni wababe tu kama ilivyo baadhi ya Wanaume wenzetu kuwa wababe Kwa wake zao🙌

Kuna askari mmoja wa jwtz, jirani yetu alikuwa akipigwa sana na Mkewe (Mbabe) mara kwa mara

Kutokea hapo nilijiapizaga nikija Kuoa Mwanamke mnene Mimi, labda sio Grahams Mimi 🤗🙌

Maana jamaa Mkewe alikuwa mnene kaenda hewani halafu ndiyo Mbabe 🙌
Vijana wakiona hii comment yako utafanya nisiolewe😂🤸
 
Takwimu za sasa ukifuatilia zinapotosha sana kusema mwanaume ndie anaonekana kuwa mnyanyasaji wa kijinsia katika matukio.

Ukweli ni kwamba, initiators au wasababishaji wa kwanza domestic Violence eneo la mahusiano kwa asilimia kubwa ni wanawake. Hii ni kwasababu jamii inatazama zaidi physical abuse and violence kuwa ndio ushahidi ila wanaacha Emotional abuse and violence ambayo ndiyo hatari na kubwa sana kufanyika katika mahusiano.

Wanawake wanakauli ambazo ukizitazama kwa uzito huwa zinachokoza au kuamsha tabia za ubabe kutoka kwa wanaume aidha kwa makusudi au bila wao kujua.

Kwa mfano, mwanamke anaweza kuwa na kauli za dharau kwa mwanaume wake ambaye hana kazi au kipato kizuri ila ni mwanaume ambaye anampenda mwanamke wake na kumjali ila ni kukosa kipato kuna mfanya ashindwe kumpatia baadhi ya vitu.

Mwanamke atakuwa na kauli za kukatisha tamaa, kufedhesha,kushusha heshima na kudhalilisha mfano, "Mbona wenzako wanafanikiwa wewe una shida gani", "me sioni kama humu ndani kuna mwanaume ", " Mwanaume utakuwa wewe","Kama hauhudumii wapo watakaoweza kuhudumia", "unavyokula chakula kwa kujiachia utadhani umetoa hela" na kadhalika.

Hizi kauli zinapomfikia mwanaume huamsha hisia za kisasi, chuki dhidi ya wanawake, hasira, jazba, na huamsha akili ya kutaka kumdominate mwanamke kwa nguvu ili kudhibiti hizo kelele na kujiprotect psychologically.

Matokeo yake ni mwanaume kubadilika na kuanza kuwa mkorofi nakuanza kumtreat mwanamke wake kwa jazba na hasira. Hapo ndipo jamii sasa huanza kufuatilia na kusema wanaume ni chanzo cha kunyanyaswa wanawake bila kufahamu kuwa mwanaume alipitia mengi ambayo hayakuzungumzwa popote na yalifanyika vyumbani.

Abuse zipo nyingi sana wanawake huwafanyia wanaume zao na kusababisha wanaume kuanza kuwachukia. Imagine mwanaume umerudi nyumbani umedhurumiwa huko, ulikamatwa na traffic ukatolewa pesa, una madeni unarejea nyumbani ukiwa haupo sawa, mwanamke uliyeoa ambaye jukumu lake ni kukusaidia wewe nyakati kama hizi kwa kuwa mfariji, rafiki, sikio la malalamiko yako ndie anageuka kuwa adui wa ndani.

Unafika home kwanza hajali ile facial expressions ya uso wako kuwa haupo sawa, una wasiwasi, una huzuni na haupo sawa anakupuuza hata hakuulizi una tataizo gani au kutaka kukutoa kwenye hiyo hali, hapa unampa ujumbe mwanaume kuwa haujali afya yake ya akili.

Mwanaume anaingia ndani mwanamke humfwati hadi akuite akiwa na shida ya kitu. Unamjengea fikra kuwa sisi sio marafiki. Unaandaa chakula tena pengine ambacho hakipendi,au hauandai kabisa aende kukijuta jikoni saa nne za usiku akitafuta chakula sababu ya njaa.

Usiku analala na mawazo mwanamke anapiga kimya haulizi wala kujali mwanaume analala na msongo wa mawazo. Asubuhi unaamka na mawazo ya siku itakavyokuwa mbaya, mwanamke amelala hadi ule muda ambao angekuwa anakuandalia chai kwa upendo yeye kalala kama mamba kwenye kingo ya mto. Unajiandaa kwa hasira usepe, anakuongelesha kwa sauti ya lawama huku amelala kitandani kuwa unaondokaje kimya kimya yeye anahitaji pesa ya hiki na hiki na kile ukitazama vitu anakulistia vingi ni madeni yake personal.

Mtu wa hivi kwann siku akikupandisha mori usimzibue kwa kipigo kama unaua nyoka?

Wanawake mjifunze sana, kuwa mke sio kazi kubwa kama mnavyodhania. Mke ni rafiki sio mtumwa wala mfanyakazi. Rafiki huwa ni msaidizi na partner.
 
Kuna baadhi ya Wanawake wameumbwa ni wababe tu kama ilivyo baadhi ya Wanaume wenzetu kuwa wababe Kwa wake zao[emoji119]

Kuna askari mmoja wa jwtz, jirani yetu alikuwa akipigwa sana na Mkewe (Mbabe) mara kwa mara

Kutokea hapo nilijiapizaga nikija Kuoa Mwanamke mnene Mimi, labda sio Grahams Mimi [emoji847][emoji119]

Maana jamaa Mkewe alikuwa mnene kaenda hewani halafu ndiyo Mbabe [emoji119]
Alimuonea huruma, angeamua kutunishiana nae misuli angemuumiza. Mwanaume akijua anapambana na kitu kinachoelekea kumshinda nguvu then anageuka kuwa hatari sababu anapambana kueliminate a threat, so akifa mtu hapo asije kulaumiwa.
 
Alimuonea huruma, angeamua kutunishiana nae misuli angemuumiza. Mwanaume akijua anapambana na kitu kinachoelekea kumshinda nguvu then anageuka kuwa hatari sababu anapambana kueliminate a threat, so akifa mtu hapo asije kulaumiwa.
Huenda alikuwa anamwonea huruma, lakini ndiyo iwe Kila Siku 🙌

Binafsi ningeshindwa kuvumilia aisee, maana kitendo kile kilikuwa kinaondoa Uanamme wake Kwa kudharilishwa
 
Vijana wakiona hii comment yako utafanya nisiolewe😂🤸
Kwani na wewe ni mnene Mjukuu?

Wapo wengine wanapenda Wanawake wanene, japo binafsi sio mdau Mkubwa as wengi wenu huwa wavivu Kwa bed

I real hate lazy girls Kwa bed, Bora uwe lazy kwenye kazi zako za nyumbani nitakutafutia house girl lakini sio kitandani 🤗🚶🚶🚶
 
Ila yutiai za DSM nadhani ni Kali kuliko za mikoa yote Tanzania 🙌

Vijana mkijichanganya tu mtaumwa yutiai isiyopona balaa 🙌

Oeni ili kujiepusha na hayo madhara 🤗
Yutiai za Dasalama sio mchezo mchezo, zipo grade 1 ya tabata na 2 ya sinza 🙌

Kuoa bado sana ila nataka nitafute la 7 B wangu msukuma niweke ndani. Unanishaurije?
 
Kuna baadhi ya Wanawake wameumbwa ni wababe tu kama ilivyo baadhi ya Wanaume wenzetu kuwa wababe Kwa wake zao🙌

Kuna askari mmoja wa jwtz, jirani yetu alikuwa akipigwa sana na Mkewe (Mbabe) mara kwa mara

Kutokea hapo nilijiapizaga nikija Kuoa Mwanamke mnene Mimi, labda sio Grahams Mimi 🤗🙌

Maana jamaa Mkewe alikuwa mnene kaenda hewani halafu ndiyo Mbabe 🙌
Kwamba mwanajeshi anapigwa na mkewe?
 
Yutiai za Dasalama sio mchezo mchezo, zipo grade 1 ya tabata na 2 ya sinza 🙌

Kuoa bado sana ila nataka nitafute la 7 B wangu msukuma niweke ndani. Unanishaurije?
Kama utaona wa darasa la 7 hakikisha awe anahofu ya Mungu

Asije kuwa kama Zubeda wa Profesa Jay

Ukimleta Mjini, Kuna mafisi yatamuhonga iphone 14 ili kuweza kumpata kama atakuwa kisu 😜
 
Kama utaona wa darasa la 7 hakikisha awe anahofu ya Mungu

Asije kuwa kama Zubeda wa Profesa Jay

Ukimleta Mjini, Kuna mafisi yatamuhonga iphone 14 ili kuweza kumpata kama atakuwa kisu 😜
Tutabaki huko huko porini chaka to chaka mpaka aote kitambi 😂
 
Tutabaki huko huko porini chaka to chaka mpaka aote kitambi 😂
Walau hiyo mbinu ya kumwotesha Kitambi itasaidia kumtuliza

Kuna Wanaume wenzetu hawajui kumpa Mke nafasi ya kupumzika akishazaaa

Yeye Mtoto wake akifika Mwaka mmoja unakuta Mke ameshabeba mimba nyingine 😜

Ila Kwa Mjini hao Wanawake hawapo, wakiona umembebesha mimba za haraka haraka, unakuta faster ameenda zake zahanati kuweka kizuia mimba 😜
 
Kwani na wewe ni mnene Mjukuu?

Wapo wengine wanapenda Wanawake wanene, japo binafsi sio mdau Mkubwa as wengi wenu huwa wavivu Kwa bed

I real hate lazy girls Kwa bed, Bora uwe lazy kwenye kazi zako za nyumbani nitakutafutia house girl lakini sio kitandani 🤗🚶🚶🚶
Babu! Nipe namba ya bibi nije anipe ujuzi
 
Babu! Nipe namba ya bibi nije anipe ujuzi
Hahaha.............zikibaki wiki mbili kabla ya harusi yenu uje Bibi yako akupe darasa 😜

It was joking Mjukuu, never get confused with the matter, wanasema utamu wa Pipi ni mate yako tu 😜
 
Hahaha.............zikibaki wiki mbili kabla ya harusi yenu uje Bibi yako akupe darasa 😜

It was joking Mjukuu, never get confused with the matter, wanasema utamu wa Pipi ni mate yako tu 😜
🤸Sawa babu ila kwa bibi lazima nije
 
🤸Sawa babu ila kwa bibi lazima nije
Bibi yako atafurahi sana kukuona, nitamwambia akuandalie mafunzo yote ikiwemo yale ya Mwaka 47 😜

Ushindwe wewe tu kwenda kumshika Mumeo 😜🤗
 
Issue unakuta mwanaume nguvu unazo za kutosha tu... Ila wa kwangu alikua anafanya ivyo akiwa mjamzito na baada ya kujifungua tena kwa operation... usipokua makini unaeza ishia jela japo kuna kipind nilikua nampiga kichwani tu na bado haachi fujo..Ila tulishindwana akaondoka akitegemea kurud nikamwambia hapa ni child support tu nitatoa nimechoka na ugomvi wake sasa ni miez 6 inaisha
 
Kuna kipindi fulani Ex wangu alinizinguaga nikamnasa kibao e bwana ehh Yule mwanamke sijui ana Basics kadhaa za mambo ya martial art.....maan alinipiga pigo fulani sehemu za shingoni hapa almanusura nikate moto

Nikajisemea kweli Wanawake ni jeshi kubwa. Na ugomvi ukaishia pale pale
dah nikishajua simuwez kama atujafunga ndoa namuacha asee... Unajua sisi me kuzingua ni mda wowote sasa ukiona humuwez mkimbie tu au labda uwe mpole sana
 
Back
Top Bottom