Ni sahihi kuvaa jeans na raba Kanisani?

Ni sahihi kuvaa jeans na raba Kanisani?

Mie naona Tanzania inarudi nyuma kimaendeleo. Hivi vitoto vya JF vinaleta nyuzi nyingi pumba tupu, sasa na hii kweli ni thread ya kuleta ijadiliwe na great thinkers??? Vyuo na shule nyingi za bongo zinazalisha wapumbavu na wajinga wengi halafu vinalalamika hamna ajira!!! mtoto wa miaka 10 wa US anayashinda kiakili haya ma vilaza ya JF yenye kuleta nyuzi kama hizi...Jitu lenye akili na makende yake linakaa kuandika huu upuuzi ......nyanokoo.
 
Miaka ya nyuma ilikuwa ukiingia JF unakutana na Habari motomoto, makala ya kusisimua..
Kuna vitu vilikuwa vinaanza JF baada ya siku kadhaa vinalipuka huko..

Ilikuwa ukipata wasaa wa kuongeza maarifa basi unaingia JF

Ila siku hz kumekuwa na wimbi la baadhi wachangiaji wa hovyo kabisa

Ingependeza moderator wawe wanachuja baadhi ya threads kabla ya kuzipeleka hewani
 
Mie naona Tanzania inarudi nyuma kimaendeleo. Hivi vitoto vya JF vinaleta nyuzi nyingi pumba tupu, sasa na hii kweli ni thread ya kuleta ijadiliwe na great thinkers??? Vyuo na shule nyingi za bongo zinazalisha wapumbavu na wajinga wengi halafu vinalalamika hamna ajira!!! mtoto wa miaka 10 wa US anayashinda kiakili haya ma vilaza ya JF yenye kuleta nyuzi kama hizi...Jitu lenye akili na makende yake linakaa kuandika huu upuuzi ......nyanokoo.
Miaka ya nyuma ilikuwa ukiingia JF unakutana na Habari motomoto, makala ya kusisimua..
Kuna vitu vilikuwa vinaanza JF baada ya siku kadhaa vinalipuka huko..

Ilikuwa ukipata wasaa wa kuongeza maarifa basi unaingia JF

Ila siku hz kumekuwa na wimbi la baadhi wachangiaji wa hovyo kabisa

Ingependeza moderator wawe wanachuja baadhi ya threads kabla ya kuzipeleka hewani

Mumejaa ushwambwa.. wa forums

Mumwekatazwa kuandika munayotaka kuyasomwa humu.. !!!

Munasikitisha sana.. hamuna upana kabisa.. shemu kwenu
 
Mie naona Tanzania inarudi nyuma kimaendeleo. Hivi vitoto vya JF vinaleta nyuzi nyingi pumba tupu, sasa na hii kweli ni thread ya kuleta ijadiliwe na great thinkers??? Vyuo na shule nyingi za bongo zinazalisha wapumbavu na wajinga wengi halafu vinalalamika hamna ajira!!! mtoto wa miaka 10 wa US anayashinda kiakili haya ma vilaza ya JF yenye kuleta nyuzi kama hizi...Jitu lenye akili na makende yake linakaa kuandika huu upuuzi ......nyanokoo.
Tulia we Pasco mayala
 
Habarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
Ukiwa hapa kwetu, ukivaa hivyo vitu utaonekana umeenda kinyume na matakwa ya imani. Lakini ukiwa nchi za magharibi, hakuna mtu atakayeshangaa ukivaa vitu hivyo maeneo ya ibada!

Hayo mavazi uliyoongelea sio asili yetu, asili yetu ni nguo za kupima kwa fundi (wengine wanasema special), na tulizoeshwa hivyo tangu ukoloni. Na hata Mwalimu nyerere alipochukua nchi toka kwa wakoloni, alituelekeza tuwe na mapenzi ya kipenda vya kwetu.

Unaweza kukumbuka viwanda kama Mwatex, Mutex, Urafiki, nk. Viwanda hivi vyote vilikuwa vya kutengeneza nguo kwa ajili ya Watanzania, na wengi wetu tulizoea nguo hizi. Nakumbuka wakati nasoma shule moja jijini Tanga (kipindi hicho halikuwa jiji), tulikuwa tunavaa kaptula za khaki. Nguo hizi zilikuwa zinatoka katika viwanda hivi.

Akina mama wengi, walikuwa wanavaa vitenge na khanga zilizotengenezwa na viwanda hivi. Na bidhaa zenyewe zilikuwa na viwango vizuri na watu (Watanzania) walizipenda sana.

Hizo nguo ulizotaja zimekuja baadae sana kama mitumba na zilikuwa chache, na hii ikafanya watu wachache kuwa nazo. Kwa hiyo, mtu akionekana na nguo hiyo mahali pa ibada walimshangaa.

Kwahivi, ni utamaduni tu na si vingine vyo. Unaweza kuvaa nguo yoyote ili mradi inasitiri maungo yako. Mungu haangalii umevaa nguo gani, bali matendo gani unafanya ili kutimiza mapenzi yake!
 
Mie naona Tanzania inarudi nyuma kimaendeleo. Hivi vitoto vya JF vinaleta nyuzi nyingi pumba tupu, sasa na hii kweli ni thread ya kuleta ijadiliwe na great thinkers??? Vyuo na shule nyingi za bongo zinazalisha wapumbavu na wajinga wengi halafu vinalalamika hamna ajira!!! mtoto wa miaka 10 wa US anayashinda kiakili haya ma vilaza ya JF yenye kuleta nyuzi kama hizi...Jitu lenye akili na makende yake linakaa kuandika huu upuuzi ......nyanokoo.
Twende taratibu. Je, kuna mavazi yanayofaa na yasiyofaa church? Majinsi na raba ni sahihi kuvaliwa church?
 
Miaka ya nyuma ilikuwa ukiingia JF unakutana na Habari motomoto, makala ya kusisimua..
Kuna vitu vilikuwa vinaanza JF baada ya siku kadhaa vinalipuka huko..

Ilikuwa ukipata wasaa wa kuongeza maarifa basi unaingia JF

Ila siku hz kumekuwa na wimbi la baadhi wachangiaji wa hovyo kabisa

Ingependeza moderator wawe wanachuja baadhi ya threads kabla ya kuzipeleka hewani
Huwezi kimbilia kujadili mambo makubwa na haya madogo hujayaweka sawa.
 
Back
Top Bottom