Ni sahihi kuvaa jeans na raba Kanisani?

Ni sahihi kuvaa jeans na raba Kanisani?

Ukiwa hapa kwetu, ukivaa hivyo vitu utaonekana umeenda kinyume na matakwa ya imani. Lakini ukiwa nchi za magharibi, hakuna mtu atakayeshangaa ukivaa vitu hivyo maeneo ya ibada!

Hayo mavazi uliyoongelea sio asili yetu, asili yetu ni nguo za kupima kwa fundi (wengine wanasema special), na tulizoeshwa hivyo tangu ukoloni. Na hata Mwalimu nyerere alipochukua nchi toka kwa wakoloni, alituelekeza tuwe na mapenzi ya kipenda vya kwetu.

Unaweza kukumbuka viwanda kama Mwatex, Mutex, Urafiki, nk. Viwanda hivi vyote vilikuwa vya kutengeneza nguo kwa ajili ya Watanzania, na wengi wetu tulizoea nguo hizi. Nakumbuka wakati nasoma shule moja jijini Tanga (kipindi hicho halikuwa jiji), tulikuwa tunavaa kaptula za khaki. Nguo hizi zilikuwa zinatoka katika viwanda hivi.

Akina mama wengi, walikuwa wanavaa vitenge na khanga zilizotengenezwa na viwanda hivi. Na bidhaa zenyewe zilikuwa na viwango vizuri na watu (Watanzania) walizipenda sana.

Hizo nguo ulizotaja zimekuja baadae sana kama mitumba na zilikuwa chache, na hii ikafanya watu wachache kuwa nazo. Kwa hiyo, mtu akionekana na nguo hiyo mahali pa ibada walimshangaa.

Kwahivi, ni utamaduni tu na si vingine vyo. Unaweza kuvaa nguo yoyote ili mradi inasitiri maungo yako. Mungu haangalii umevaa nguo gani, bali matendo gani unafanya ili kutimiza mapenzi yake!
Madini matupu....hivi nawezaje kufollow mtu hapa Jf?
 
Ukiwa hapa kwetu, ukivaa hivyo vitu utaonekana umeenda kinyume na matakwa ya imani. Lakini ukiwa nchi za magharibi, hakuna mtu atakayeshangaa ukivaa vitu hivyo maeneo ya ibada!

Hayo mavazi uliyoongelea sio asili yetu, asili yetu ni nguo za kupima kwa fundi (wengine wanasema special), na tulizoeshwa hivyo tangu ukoloni. Na hata Mwalimu nyerere alipochukua nchi toka kwa wakoloni, alituelekeza tuwe na mapenzi ya kipenda vya kwetu.

Unaweza kukumbuka viwanda kama Mwatex, Mutex, Urafiki, nk. Viwanda hivi vyote vilikuwa vya kutengeneza nguo kwa ajili ya Watanzania, na wengi wetu tulizoea nguo hizi. Nakumbuka wakati nasoma shule moja jijini Tanga (kipindi hicho halikuwa jiji), tulikuwa tunavaa kaptula za khaki. Nguo hizi zilikuwa zinatoka katika viwanda hivi.

Akina mama wengi, walikuwa wanavaa vitenge na khanga zilizotengenezwa na viwanda hivi. Na bidhaa zenyewe zilikuwa na viwango vizuri na watu (Watanzania) walizipenda sana.

Hizo nguo ulizotaja zimekuja baadae sana kama mitumba na zilikuwa chache, na hii ikafanya watu wachache kuwa nazo. Kwa hiyo, mtu akionekana na nguo hiyo mahali pa ibada walimshangaa.

Kwahivi, ni utamaduni tu na si vingine vyo. Unaweza kuvaa nguo yoyote ili mradi inasitiri maungo yako. Mungu haangalii umevaa nguo gani, bali matendo gani unafanya ili kutimiza mapenzi yake!
Umenena vema, lakini utamaduni wa hao wazungu tuliowaiga ni huwa hawavai majinsi na raba church. Kanisani kwao huwa ni kitu special sana. Kama tumewaiga mavazi, si ni tunapaswa kuyajua yanavaliwa wapi na wapi?
 
Kwani muongozo wa mavazi sehemu za ibada upo kwenye vitabu vya dini au kwenye utashi wa mtu mweny
main-qimg-07c39eaa923171932f5c8dc95fd7e0a0-lq.jpeg
apostles-walking-with-Jesus.jpg
ewe.....???
 
Habarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
Mkuu wewe unaweza vaa boxer kama ya Yesu kipindi kile?
jesus-cross-vector-illustration-134359745.jpg

Utatokelezeaje? Maana ilikua shuka ile.
 
Yaani, nilichoka JF mpaka nikawa naamua basi hata niwe naenda jukwaa la elimu, nijaribu kusaidia wanafunzi kile nilichosomea kwa kujaribu kutoa msaada, lakini hata huko kumekuwa ni upuuzi mtupu...
Mada za kijinga jinga zinaletwa za kurudia
JF Kwisha habari yake....imejaa wapuuzi wa kichawa na vitoto....
Tulia kwanza mkuu tumalize haya mambo madogo madogo. Huko kwenye makubwa bado hatujafika.
 
Back
Top Bottom