Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
ndio ni sahihiHabarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ni sahihiHabarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
pascal mayala alishasema hizo unazoziita pumba kuna wenzako zinawafaa kwa hiyo acha ushamba sistaHabarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
babu unashida kweliYaani madogo mnakuja JF kutaka mkubaliwe kuvaa nguo za kazi ngumu na michezo kanisani kweli?.
Hebu muwe serious na nyumba za ibada!.
Ni nani wako Pascal Mayalla?pascal mayala alishasema hizo unazoziita pumba kuna wenzako zinawafaa kwa hiyo acha ushamba sista
mentorNi nani wako Pascal Mayalla?
Sure unabeba mabomu tu na simu unaingia navyo....Kanisa la kweli huingii na viatu Wala hakuna madawati.
Mbona yesu alivaa shaka na kobaziHabarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
Sipati picha jinsi ulivyo na upeo mdogo hadi Pascal kuwa mentor wako!mentor
Duniani hakuna swali la kijinga.Mjibu.Mie naona Tanzania inarudi nyuma kimaendeleo. Hivi vitoto vya JF vinaleta nyuzi nyingi pumba tupu, sasa na hii kweli ni thread ya kuleta ijadiliwe na great thinkers??? Vyuo na shule nyingi za bongo zinazalisha wapumbavu na wajinga wengi halafu vinalalamika hamna ajira!!! mtoto wa miaka 10 wa US anayashinda kiakili haya ma vilaza ya JF yenye kuleta nyuzi kama hizi...Jitu lenye akili na makende yake linakaa kuandika huu upuuzi ......nyanokoo.
Hivi huwa haujui kiswahili au haujui kuandika?Hapo umeandika manyangalakata gani sasa?Mumejaa ushwambwa.. wa forums
Mumwekatazwa kuandika munayotaka kuyasomwa humu.. !!!
Munasikitisha sana.. hamuna upana kabisa.. shemu kwenu
Ninaishi dunia ya kwanza ambapo nguo yoyote ni sahihi kuvaa kwenda kanisani au popote... just they don't care what you wear, provided you're fine with yourself....nobody cares!!!Duniani hakuna swali la kijinga.Mjibu.
Habarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
😆😆😆! Sasa inakuwaje humo ndani au mnakaa kaaje?Kanisa la kweli huingii na viatu Wala hakuna madawati.
Wewe mzima kweli?Habarini. Ni sahihi kuvaa kofia, yaani cap church? wengi tunafahamu kuwa si sawa. Sasa vipi kuvaa jinsi na raba na tisheti church, ni sawa?
We unaonaje Kitimoto, ni sahihi kupiga jeans church?Wewe mzima kweli?
Tena wanaingia uchi kuwaenzi Adam na Hawa.Kanisa la kweli huingii na viatu Wala hakuna madawati.
Hivi huwa haujui kiswahili au haujui kuandika?Hapo umeandika manyangalakata gani sasa?
Upo we mwanamama?