NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Biblia inasema "unapotoa msaada kwa mkono wa kulia hakikisha mkono wako wakushoto haujui"
Kama nitakua nimekosea mtanisahihisha na wajuzi wa Islamic waje wadadavue Nini nini miongozo wa Qur'an tukufu kuhusu kupiga picha watu wanaopewa msaada nakusambaa mtandaoni.
Nawasilisha swali langu.
Kama nitakua nimekosea mtanisahihisha na wajuzi wa Islamic waje wadadavue Nini nini miongozo wa Qur'an tukufu kuhusu kupiga picha watu wanaopewa msaada nakusambaa mtandaoni.
Nawasilisha swali langu.