NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #41
Siyo msaada huo Bali nikudharirishana tu aiseSio sahihi, ila kwasababu wana njaa wanakuwa hawana nguvu ya kukataa kupigwa picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo msaada huo Bali nikudharirishana tu aiseSio sahihi, ila kwasababu wana njaa wanakuwa hawana nguvu ya kukataa kupigwa picha
Noted [emoji3578]Maadili yanajengwa na dini.
Hiyo inaleta mtazamo gani [emoji41]Misaada mingi hufanyika kama lengo la mtu kujitangaza, hivyo lazima apige picha, mtajuaje kuwa ni yeye?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mtu unaweza ukawa na shida lakini unaona noma kwenda kuchukuaKudhalilisha watu Kwa mgongo wa dini ndio huku Sasa. Kama unasaidia picha ya kazi gani tena?
Mwamba kanisaidia mkuu [emoji123]Hiyo ni hadithi ya mtukufu mtume Muhammad (saw) ndiyo inasema hivyo sasa leo nashangaa kusikia kwamba hadithi hiyo pia imo kwenye Biblia.
Itakua vizuri Kama na wewe ukitupa hiyo hadithi ili tuendeleee kujifunza mkuu.[emoji41]Hiyo ni hadithi ya mtukufu mtume Muhammad (saw) ndiyo inasema hivyo sasa leo nashangaa kusikia kwamba hadithi hiyo pia imo kwenye Biblia.
Kupiga picha muhimu kuzuia utapeliSio sahihi hakukua na haja ya kuwapiga picha wao wametaka kutoa sadaka ya ftar wangetoa bila kuwadhalilisha kuwapanga na mstari kabisa
Hiyo ni sadaka kanisani hukoMwamba kanisaidia mkuu [emoji123]
Mathayo 6:3
Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kulia
Wanaonaje? Kwa hizo picha?Kiukweli sadaka ya kutangaza au kujionyesha hiyo malipo yake hapa duniani Kwa maana utasifiwa kuwa umetoa lkn Kwa Allah haisomeki
Ila
Ninachoona kuna mazingira Fulani ambayo wafadhili wanatoa misaada sasa wanataka kuona je imewafikia walengwa?
Sasa kama hiyo ndio Nia Yao basi watapata malipo Yao inshallah lkn kama kujionyesha Kuwa wao ni watoaji basi hakuna thawabu hapo.
Kwa nini wasipige na kupeleka moja kwa moja kwa hao ''wafadhili''? Kama una macho nadhani umeona neno ''wafadhili'' nimeliandikaje.Kupiga mujimu kuzuia utapeli
Wengine unakuta uwezo wanao wanafoji vizuri waonekane wazi wanaopewa
Watoa misaada wengine matapeli hutapeli wafadhili ohh naomba misaada nipelekee yatima anafisadi yote anarudisha ripoti kwa wafadhili kuwa alitoa kumbr hakutoa
Picha muhimu tena watu wakipigwa wasifiche nyuso zao
Ubinadamu kazi!Biblia inasema "unapotoa msaada kwa mkono wa kulia hakikisha mkono wako wakushoto haujui"
Kama nitakua nimekosea mtanisahihisha na wajuzi wa Islamic waje wadadavue Nini nini miongozo wa Qur'an tukufu kuhusu kupiga picha watu wanaopewa msaada nakusambaa mtandaoni.
Nawasilisha swali langu.
Vizuri hata jamii inayowazunguka iwaone ndio inawajua vizuri kama kweli wahitajiKwa nini wasipige na kupeleka moja kwa moja kwa hao ''wafadhili''? Kama una macho nadhani umeona neno ''wafadhili'' nimeliandikaje.
Mawazo ya kiarabu haya. Siku zote utamaduni wa kiarabu umejikita sana kwenye ubwana na utwana. Hata hadithi nyingi zenye asili ya huko zinasimulia juu ya u-bwana na u-twana.Vizuri hata jamii inayowazunguka iwaone ndio inawajua vizuri kama kweli wahitaji
Wanaficha nini kama wao wahitaji wapokea misaada kuna shida gani jamii ikiwaona
Tena kipindi hiki cha Ramadhani wenye.nacho wanaibiwa sana na matapeli wasio na uhitaji kwa kuchukua misaada ya vyakula,sukari ,tende nk kupeleka makwao
Kamera zitumike sana tena sio za picha tu hadi za video na zionyeshwe hadi misikitini kuonyesha waliopokea hiyo misaada eneo husika na kwenye TV na kwa wafadhili
Picha irudiwe kupigwa hao wapokea misaada walioficha nyuso zao waambiwe wanyanyue sura juu Zionekane kwenye kameraWanaonaje? Kwa hizo picha?
Kukubali kusaidiwa ukiwa na shida kweli hakuna cha ubwana na utwana hapoMawazo ya kiarabu haya. Siku zote utamaduni wa kiarabu umejikita sana kwenye ubwana na utwana. Hata hadithi nyingi zenye asili ya huko zinasimulia juu ya u-bwana na u-twana.
Ukitaka usidhalilike ukatae msaada kwa nguvu zote; sio msaada unataka, kupigwa picha hutaki; kama ni hivyo kataa vyote.Siyo msaada huo Bali nikudharirishana tu aise
Mfano wasanii, mwanzoni wanakuwa choka mbaya; wakishavuka wanasahau walikotoka; hapa muhimu ni kupigwa picha tu.Nani atakuja kukuuliza kuwa nilikusaidia [emoji41]
Itakua vizuri Kama na wewe ukitupa hiyo hadithi ili tuendeleee kujifunza mkuu.[emoji41]
Kua uyaone mwanangu. Dunia uwanja wa fujo. Ukiona unashiba wewe shukuru. Nakubaliana na wewe kuwa kuombaomba siyo jambo zuri hasa kama mtu una uwezo wa kufanya kazi, ila kuna scenario nyingine mtu anafikia kwenye stage ya kuomba kwa sababu mbalimbali zisizozuilika.Ukitaka usidhalilike ukatae msaada kwa nguvu zote; sio msaada unataka, kupigwa picha hutaki; kama ni hivyo kataa vyote.
SI sahihi ila unakuta wanaotoa msaada siku hizi wanahitaji angalau ushahidi Ili wajiridhishe mana upigaji mwingi.Biblia inasema "unapotoa msaada kwa mkono wa kulia hakikisha mkono wako wakushoto haujui"
Kama nitakua nimekosea mtanisahihisha na wajuzi wa Islamic waje wadadavue Nini nini miongozo wa Qur'an tukufu kuhusu kupiga picha watu wanaopewa msaada nakusambaa mtandaoni.
Nawasilisha swali langu.