bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
hiyo ni kweli kabisa, kuna baadhi ya watu huomba misaada kwa ajili ya kuwapa wale wasio na uwezo na baadae huwa hawawapelekei wahusika. Kwa hivyo siku hizi wengi huwa wanapenda wapigiwe picha ili kuona kwa uhakika kama misaada imewafikia walengwa.Sasa hivi wafadhili hawatuamini Wabongo usikute wafadhili wanataka wahakikishe kuwa msaada wao umewafikia walengwa. Wanatujua tabia zetu za upigaji
Naona jamaa wanajuta 😃 ila ndio hivyo sasa watafanyajeBiblia inasema "unapotoa msaada kwa mkono wa kulia hakikisha mkono wako wakushoto haujui"
Kama nitakua nimekosea mtanisahihisha na wajuzi wa Islamic waje wadadavue Nini nini miongozo wa Qur'an tukufu kuhusu kupiga picha watu wanaopewa msaada nakusambaa mtandaoni.
Nawasilisha swali langu.
hiyo ni kweli kabisa, kuna baadhi ya watu huomba misaada kwa ajili ya kuwapa wale wasio na uwezo na baadae huwa hawawapelekei wahusika. Kwa hivyo siku hizi wengi huwa wanapenda wapigiwe picha ili kuona kwa uhakika kama misaada imewafikia walengwa.
Ila sasa huyu aliyeleta hiyo picha humu nae pia hakufanya vizuri.
hiyo ni kweli kabisa, kuna baadhi ya watu huomba misaada kwa ajili ya kuwapa wale wasio na uwezo na baadae huwa hawawapelekei wahusika. Kwa hivyo siku hizi wengi huwa wanapenda wapigiwe picha ili kuona kwa uhakika kama misaada imewafikia walengwa.
Ila sasa huyu aliyeleta hiyo picha humu nae pia hakufanya vizuri.
rozali isiyokuwa na msalaba
Huyo si atheist hajui hizo mambo!Katika istilahi za kiisilamu hiyo inaitwa Tasbih.
KabisaKweli kabisa stara ni kitu muhimu Sana kwakweli.
Hata kama Mimi nikazam pm kwako unibust hlf unakuja hapa barazani unasema umenibust wallah nitakumaind
Kabisa
Na hiyo sasa ndio MANNI WAL- ADHAA( masimbulizi na maudhi) ambayo inabatilisha sadaka.
"Enyi mlio amini! Msiharibu sadaka zenu kwa masimbulizi na maudhi, kama anaye toa mali yake kwa kuwaonyesha watu, wala hamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho..................." (2:264)
Allah atuhifadhi
Juzi nilipita msikiti fulani nikakuta nyomi ya watu wamepanga foleni nikawa najiuliza leo kuna kiongozi gani mkubwa wa dini ametembelea huu msikiti.
Kucheki pembeni nikakuta kuna sheikh kanyuka kanzu safi afu uchebe umejaa kiasi akifumba mdomo wakikuambia kautafute hauupati
Uchebe umepakwa bleach mkono wa kushoto kashika rozali isiyokuwa na msalaba afu mkono wa kulia kabeba Canon yenye lens flani hivi kubwa mara nyingi nimekuwa nikiwaona vijana wa Millardayo wakizishika.
Wakati nimezubaa ndio nikasikia kuwa huyo sheikh anapiga picha hao waliopo kwenye foleni wanaopokea msaada.
Nilipouliza kwanini wapigwe picha wakati hii ni sio taasisi ni dini na haikupaswa kuwa na elements za kuchoreshana, jamaa alinijibu hivi.
Aliniambia wanao fund hiyo misaada ni waarabu wa nje, wao wanatoa kiasi cha pesa ambacho wanawakabidhi viongozi wa msikiti husika ila wanataka kuthibitisha msaada waliotoa umetumika kama walivyotaka. Ndio hapo wanahitaji kuona picha kama uthibitisho
Kwa hiyo wanaopanga hizo foleni hawawezi kuchoreshwa kwenye big screen za umma, bali wataonekana kwa wahusika walio fund hiyo misaada
So unao uchaguzi, ubaki na ustaarabu wako wakugoma kuanikwa kwa waarabu ukaji faitie kivyako kupata hayo mahitaji au ule buyu ujikaushe kwenye foleni afu umuache Millardayo afanye kazi yake
Hii picha mpaka kufika hapo ndio katika madhaifu ya hiyo njia ambayo inaonekana kama solution ya kukomesha upigaji.hiyo ni kweli kabisa, kuna baadhi ya watu huomba misaada kwa ajili ya kuwapa wale wasio na uwezo na baadae huwa hawawapelekei wahusika. Kwa hivyo siku hizi wengi huwa wanapenda wapigiwe picha ili kuona kwa uhakika kama misaada imewafikia walengwa.
Ila sasa huyu aliyeleta hiyo picha humu nae pia hakufanya vizuri.
Kudhalilisha watu Kwa mgongo wa dini ndio huku Sasa. Kama unasaidia picha ya kazi gani tena?
Siasa ❌Wewe hukumsikia mama Samia akilalamika watu wameweka cha juu kwenye bei ya ndege, hukusikia akiwaita; Pumbavu watu waliochelewesha malipo na riba ikapanda kwa mabilioni ya shillings??-- hao ndio Watz waliokabidhiwa dhamana ya nchi kisheria wanafanya madudu bila kuogopa mkono wa sheria, sasa vipi mtu kajitolea sadaka yake kuwapa maskini, mtu huyo hana mkono wa kisheria juu ya mtu aliyemuamini kwenda kuwapelekea hizo sadaka walengwa?!!--- ni lazima katika mazingira hayo huyo mtoaji sadaka afanye kitu kitakachomridhisha kuona kwamba sadaka yake imewafikia walengwa, hiyo ndio sababu ya hizo picha.
Siasa ❌
Dini ✔️
Wachague dini au siasa
Mathayo 6:3Hilo andiko la mkono usiuone mkono mwenziye lipo katika Biblia katika kitabu gani??-- naomba nukuu kwanza kabla sijachangia maoni yangu.
Nani atakuja kukuuliza kuwa nilikusaidia [emoji41]Pia wakati mwingine waliosaidiwa huwa wanakuja kukataa huko mbeleni wakifanikiwa; hivyo ushahidi ni picha.