Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu hana hata jina unawekaje msiba?Je ni sahihi kuweka msiba au kupitisha mchango wa msiba kwa mtoto aliyefia tumboni hata m9 hakufikisha
Hii iliwahi kunitokea. Nikawauliza wazee wakasema hakuna kuweka msiba. Nenda mwenyewe na mtu mmoja mkauhifadhi huo mwili. Hakuna msiba wala mchango.Je ni sahihi kuweka msiba au kupitisha mchango wa msiba kwa mtoto aliyefia tumboni hata m9 hakufikisha
HapanaJe ni sahihi kuweka msiba au kupitisha mchango wa msiba kwa mtoto aliyefia tumboni hata m9 hakufikisha
Hata mimi ilinitokea nikampigia mzee akasema hiyo ni issue yako na mtu mmoja/wawili.Hii iliwahi kunitokea. Nikawauliza wazee wakasema hakuna kuweka msiba. Nenda mwenyewe na mtu mmoja mkauhifadhi huo mwili. Hakuna msiba wala mchango.
Watu kama hao ukiumwa kidogo wanaombea ufe!!Sio sahihi kabisa.
Tupunguze kufanya kila kitu mtaji.