Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Wanajamii ndo walimpa mimba amaNdiyo ni sahihi.maana hata huyo ni kiumbe Cha Mungu.kwanza hiyo inakuwa ni njia Moja ya kuujulisha umma kuwa mtoto kafariki.fikiria Sasa umekaa kimya halafu wanajamii waanze kukuuliza kulikoni?au umeitoa? Na Kwa Nini?