Wanajamii ndo walimpa mimba amaNdiyo ni sahihi.maana hata huyo ni kiumbe Cha Mungu.kwanza hiyo inakuwa ni njia Moja ya kuujulisha umma kuwa mtoto kafariki.fikiria Sasa umekaa kimya halafu wanajamii waanze kukuuliza kulikoni?au umeitoa? Na Kwa Nini?
Kumbe kuchangisha michango ndiyo kuujulisha ummaNdiyo ni sahihi.maana hata huyo ni kiumbe Cha Mungu.kwanza hiyo inakuwa ni njia Moja ya kuujulisha umma kuwa mtoto kafariki.fikiria Sasa umekaa kimya halafu wanajamii waanze kukuuliza kulikoni?au umeitoa? Na Kwa Nini?
Wanavifanyia nini?Tena huwa hazikwi makaburini bali pembeni ya jyumbakaribu na mlango,maiti za hivi vitoto ni fili sana,ukizikamakavuri ya umma kesho hukakuti
Wachawi wanaviiba wanavikamua mafutaWanavifanyia nini?
Duuuh hatari....haya sawaWachawi wanaviiba wanavikamua mafuta
Wananzengo huku buzirayombo ndio tunaamini hivyoDuuuh hatari....haya sawa
Marcy acha ubahili, hebu toa huo mchango.Je ni sahihi kuweka msiba au kupitisha mchango wa msiba kwa mtoto aliyefia tumboni hata miezi 9 hakufikisha?
Hayo mafuta ndio yanatumika kuendeshea ungo pale wachawi wakiwa wanapaa angani.Duuuh hatari....haya sawa
Kumbe!!! duniani kuna mambo.....Hayo mafuta ndio yanatumika kuendeshea ungo pale wachawi wakiwa wanapaa angani.
Mi mwenyewe ilinitokea ilikuwa miezi saba kwenda nane mama mtoto aliniambia zilipita siku mbili bila ya kuhisi mtoto kucheza tumboni kwenda hospital ikawa tayari kashafia tumboni kimsingi inaumiza sanaHii iliwahi kunitokea. Nikawauliza wazee wakasema hakuna kuweka msiba. Nenda mwenyewe na mtu mmoja mkauhifadhi huo mwili. Hakuna msiba wala mchango.
R.i.P Classmate....π₯Je ni sahihi kuweka msiba au kupitisha mchango wa msiba kwa mtoto aliyefia tumboni hata miezi 9 hakufikisha?
Inaumiza sana.Mi mwenyewe ilinitokea ilikuwa miezi saba kwenda nane mama mtoto aliniambia zilipita siku mbili bila ya kuhisi mtoto kucheza tumboni kwenda hospital ikawa tayari kashafia tumboni kimsingi inaumiza sana
Siyo sahihiJe ni sahihi kuweka msiba au kupitisha mchango wa msiba kwa mtoto aliyefia tumboni hata miezi 9 hakufikisha?
Mwambie hakuna msiba hapo Wala michango. π«€π«€Dah π wazazi wamekaa kimchongo
Wapare hatuna mambo hayo πMwambie hakuna msiba hapo Wala michango. π«€π«€
Kabla sijasahau niulizie wewe mi naogopa hao wafiwa ni Wapare?
Pole Sana!Mi mwenyewe ilinitokea ilikuwa miezi saba kwenda nane mama mtoto aliniambia zilipita siku mbili bila ya kuhisi mtoto kucheza tumboni kwenda hospital ikawa tayari kashafia tumboni kimsingi inaumiza sana
Hospital nyingi baadhi ya wahudumu mara nyingi huwaga wanazifanyia biashara [kuuza] hizo maiti za vichangahapo inatakiwa wale wa hospitali ndio wanajua pa kuhifadhi, hakuna msiba hapo
Dah π wazazi wamekaa kimchongo
kwahiyo ni diliTena huwa hazikwi makaburini bali pembeni ya jyumbakaribu na mlango,maiti za hivi vitoto ni fili sana,ukizikamakavuri ya umma kesho hukakuti
π€£π€£π€£π€£π€£ kizungumkuti njoo nisaidie kutoaMarcy acha ubahili, hebu toa huo mchango.