mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndo Mafundisho yakijinga kabisaa
WE FANYA UMALAYA WAKO WOTE KWA MKEO/MUMEO..!!! Toa sauti, biduka, goma kwenda, mende, na masauti kama yoteHABARI,
Nahitaji kujua Kama Ni sahihi kutoa sauti za mahaba "Loud moaning" wakati wa Tendo la ndoa?
Maana nimeona kwenye website tofauti tofauti Kila mmoja akitoa jibu lake, nimeamua kuleta huku pia tuweze kujadili. Hivi mnalichukuliaje hili.
Kwa kuwa Tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ameitoa kwa wanadamu kwa wanandoa na inaleta rufaha katika ndoa.
Karibuni wadau.
Halafu useme ku moan ni dhambi ah weeeInaokoka roho, viungo vinataka inayomesa yenzie ,wokovu havielewi😂😂
Haswa uwe na komwe kubwa kama uwanja wa fisiYaani tushindwe kupiga mikelele ya utamu sababu ya kuwa wakristo? hell no msicomplicate maisha hivo bana. Ndiyo maana hivyo viungo viliumbwa na haiwezekani hasi na chanya zigusane bila kutoa cheche(mlio)[emoji23][emoji23].
Kupiga kelele mixer miuno kama feni bovu is allowed
Nyie moto wenu, magogo yatatumika kuukoleza😂😂 kuni hazitotoshaKama tu kumoan ni motoni moja kwa moja.? Na siye tunao talk dirty sindiyo kwisha habari yetu..!?
Yaani kuna mda nyumba mnakuwa na ndugu,watoto n.k lakini tukibaki wawili najiachia sana nakuwa huru sanaHuo muda wa kusikilizia kama kuna watu au hakuna ndo unatoka wapi? sasa chukulia mfano umepanga chumba nyumba zetu za kupanga dirisha linapakana na dirisha la jirani, utajibana kisa? nunua radio ukitaka kufanya yako fungulia kamziki jiachie bhana [emoji3]
Yaani wakiwepo watu nagugumia taratibu yaani si unajua kujibana,we acha ile kitu ni tamu bwana kujiachia ndo mpango,hivi unaweza piga kelele watoto wamelala jiraniMkuu Kama wakiwa watu ndani na usitoe sauti kwa Nini mkiwa pekeenu mnatoa sauti, uoni kuwa unapingana na antimatter aliyesema kuwa Ni involuntary
Hayayaani wakiwepo watu nagugumia taratibu yaani si unajua kujibana,we acha ile kitu ni tamu bwana kujiachia ndo mpango,hivi unaweza piga kelele watoto wamelala jirani
Waache wapige kelele, maana hakika hili tendo limelawaniwa...HABARI,
Nahitaji kujua Kama Ni sahihi kutoa sauti za mahaba "Loud moaning" wakati wa Tendo la ndoa?
Maana nimeona kwenye website tofauti tofauti Kila mmoja akitoa jibu lake, nimeamua kuleta huku pia tuweze kujadili. Hivi mnalichukuliaje hili.
Kwa kuwa Tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ameitoa kwa wanadamu kwa wanandoa na inaleta rufaha katika ndoa.
Karibuni wadau.
Adam na Hawa walifanya matusi gani? Tueleze maana kwenye Biblia inasema walifanya dhambi kwa kula tunda walilokatazwa.Waache wapige kelele, maana hakika hili tendo limelawaniwa...
Lingekua ni zawadi kutoka kwa Mungu, Adam na Hawa wasingefukuzwa baada ya kufanya matusi..
Thibitisha Mungu yupo kwanza.HABARI,
Nahitaji kujua Kama Ni sahihi kutoa sauti za mahaba "Loud moaning" wakati wa Tendo la ndoa?
Maana nimeona kwenye website tofauti tofauti Kila mmoja akitoa jibu lake, nimeamua kuleta huku pia tuweze kujadili. Hivi mnalichukuliaje hili.
Kwa kuwa Tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ameitoa kwa wanadamu kwa wanandoa na inaleta rufaha katika ndoa.
Karibuni wadau.
Fumbo kafumbiwa mjinga... Werevu wanangamua...Adam na Hawa walifanya matusi gani? Tueleze maana kwenye Biblia inasema walifanya dhambi kwa kula tunda walilokatazwa.
Thanks, mkuu hata kwa wakristo, Tunaamini Tendo la Ndoa Ni zawadi iliyotoka kwa Mungu, Na ndo maana tunaliita Tendo la ndoa , na mwazilishi wa Ndoa Ni MUNGU tendo la ndoa Ni kitendo kitakatifu na Ni Lazima lifaywe kwa Utakatifu.Katika Uislam, tendo la ndoa (ndani ya ndoa) ni Ibada. Wanandoa halali wakilifanya wanapata starehe zao na thawabu juu.
Na Adam na Hawa hawakufukuzwa kwa kufanya matusi kama unavyosema.
Hii ni kwa mujibu wa Dini ninayoifuata, yaani
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Katika Uislam, tendo la ndoa (ndani ya ndoa) ni Ibada. Wanandoa halali wakilifanya wanapata starehe zao na thawabu juu.
Na Adam na Hawa hawakufukuzwa kwa kufanya matusi kama unavyosema.
Hii ni kwa mujibu wa Dini ninayoifuata, yaani Uislam.