Inategemea na alivyokuzoea maana wengine wanapenda mkojoe pamoja, lakini hata asiposema ukimzoea mpenzi/mke wako utajua hapa anakojoaNaomba niulize, hivi mwanamke akifikia muda anasema 'nakojoaaa', ni kweli au napigwa?
Nan kakuambia walifanya matus??Waache wapige kelele, maana hakika hili tendo limelawaniwa...
Lingekua ni zawadi kutoka kwa Mungu, Adam na Hawa wasingefukuzwa baada ya kufanya matusi...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Nan kakuambia walifanya matus??
Mbona unatafsiri maandiko tofaut??
Yani wewe sijui umetoa wapi hioTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...