Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hilo lipo kisheria kwa kampuni kuwajibika kutoa taarifa kwa vyombo vya uchunguzi ila sio kwa uma wa kawaida.Sheria ya Mitandao EPOCA.huoni hata Maxence Mello wa huku alisumbuliwa kweli na kesi kwa kukataa kutoa taarifa binafsi za members humuTCRA,POLICE,BOT etc wanalindwa na sheria ya kupewa taarifa yeyote wanayotaka kutoka taasis zozote kwa ajili ya uchunguzi.
Waliogopa kuwakuta ya Mello. Mello ni mwandishi. Kwa kawaida mwandishi kushtakiwa, kupigwa kwake ni jambo la kawaida. Mitandao ya simu wako kibiashara 100% hivyo wanaogopa kufungiwa. Si unaijua Tanzania? Ni maoni yangu tuNi kweli hilo lipo kisheria kwa kampuni kuwajibika kutoa taarifa kwa vyombo vya uchunguzi ila sio kwa uma wa kawaida.Sheria ya Mitandao EPOCA.huoni hata Maxence Mello wa huku alisumbuliwa kweli na kesi kwa kukataa kutoa taarifa binafsi za members humu
Kwenye hiyo orodha tcra hawamo maana wenyewe wanamiliki mtambo wao wenyewe wa kurekodi mawasilianoTCRA,POLICE,BOT etc wanalindwa na sheria ya kupewa taarifa yeyote wanayotaka kutoka taasis zozote kwa ajili ya uchunguzi.
Unayaona Leo hayo au?Nimesikia jana kuwa kampuni moja ya simu imetoa mawasiliano ya Sabaya mahakamani.
Je hili linatoa taswira gani kwa wateja wake?
Binafsi siijui sheria hivyo nawaomba wenye uelewa tujulishane.
TCRA,POLICE,BOT etc wanalindwa na sheria ya kupewa taarifa yeyote wanayotaka kutoka taasis zozote kwa ajili ya uchunguzi.
Ok sasa hapo haki ya siri za mteja inazingatiwa vipi kwenye hali ya uoga ?Waliogopa kuwakuta ya Mello. Mello ni mwandishi. Kwa kawaida mwandishi kushtakiwa, kupigwa kwake ni jambo la kawaida. Mitandao ya simu wako kibiashara 100% hivyo wanaogopa kufungiwa. Si unaijua Tanzania? Ni maoni yangu tu
Ole Sabaya ni jangili hivyo kahatarisha usalama wa nchiNashukuru sana kwa kunielewesha mkuu
Pamoja mkuuNimekubali
Mkuu Waswahili husema kwa muoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio. Hapa tunapata funzo kwamba tuwe makini katika mawasiliano ya simu. Kumbuka hii Iko hivyohivyo hata kwenye mabenki. Kisheria kuna taasisi zinaweza kuziagiza taasisi hizo kutoa taarifa na wakikataa ni kosa. Inahitaji moyo na taaluma kama ya Mello kuwa jasiri na kusema hapana.Ok sasa hapo haki ya siri za mteja inazingatiwa vipi kwenye hali ya uoga ?
Tumpongeze sana mshika dau mwenzetu wa jfMkuu Waswahili husema kwa muoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio. Hapa tunapata funzo kwamba tuwe makini katika mawasiliano ya simu. Kumbuka hii Iko hivyohivyo hata kwenye mabenki. Kisheria kuna taasisi zinaweza kuziagiza taasisi hizo kutoa taarifa na wakikataa ni kosa. Inahitaji moyo na taaluma kama ya Mello kuwa jasiri na kusema hapana.